😂Huyo ni mgonjwa na kupona kwake mpaka atekelezewe ile kauli mbiu ya Yanga daima mbele.
Ana umri gani huyo jamaa?,. Na vipi hana historia ya kukataliwa na wanawake huwenda hiyo ndyo imemuaffect vibaya
Umri anao wakutosha wakumfanya aitwe mwanaume mtu mzimaAna umri gani huyo jamaa?,. Na vipi hana historia ya kukataliwa na wanawake huwenda hiyo ndyo imemuaffect vibaya
So yupo sahihi kweny kuanika huo ukweli?Si ni kweli lakini? 😅
Afu huwez amini ni mjeshi katika moja ya majeshi tunayoyaheshimu hapa nchiniNina uhakika mwamba hajaenda jando.
Kwamba huyu jamaa ni mtume wa Mungu aliyepewa kazi ya kuvuruga tabia za uchepukaji?Hapo jamaa mtongozaji wa wake za marafiki zake na hao marafiki zake wote kwa pamoja waache uzinzi na uasherati.
Hamna kesi hapo.
Walikuwa hawajamfahamu vzr ....mmoja kati ya waliotongozwa ndo alifunguka kuwa jamaa amekuja na kusimulia yote yanayoendelea huko dunianiNi hao hao rafiki zake ndio wanampa hiyo nafasi, kwanini wamsimulie kuhusu hiyo michepuko?
Basi inabidi ajirekebishe hiyo tabia ni ya kikeUmri unamtosg
Umri anao wakutosha wakumfanya aitwe mwanaume mtu mzima
unataka aje kukutongoza n wewe upate mawili matatu ya Mr?Nimempenda huyo jamaa, sahivi yuko wapi?
Ndio brounataka aje kukutongoza n wewe upate mawili matatu ya Mr?