Hivi inaingia akilini mwanaume kuheshimu madanga ya mkeo?

Hivi inaingia akilini mwanaume kuheshimu madanga ya mkeo?

The Eric

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2019
Posts
6,446
Reaction score
10,976
Wana harakati habarini wote.

Jana kijua kilitoka kidogo ikabidi nitoke niote jua nje kidogo maana nilikuwa nimetulia house siku nzima sikwenda job. Sasa nikiwa nasukuma draft na jamaa wawili watatu wa kunipita umri kama kaka hivi.

Wakati tuna tia stori mmoja akawa anatujuza anapenda mke wake anavo leta mazaga home hata kama kuna danga lina mtoa na kumla ila hataki kujua hilo, kwa hiyo anadai mke wake anamkosha na eti kuna muda ndani wakiwa anamwambia hili danga linajua kuhonga so asidange na masela, nikacheka sana huku nataka mwambia broh je akidanga halafu akiombwa kwa mpalange atoe, sema nikasita mwambia.

Dah! Wanaume duuh tuendelee kuheshimu madanga za wake zetu maana ndiyo yanatupa kushiba pale tunapo kuta mboga saba afu asubuhi tuliacha buku au hatukuacha kabisa. 😂😅 Siku akipata bwana wa kizungu atoe kwa mpalange maana amna namna, afu home unamruhusu asirudi mapema.

Hii kitu ni ngumu sana lakini ndio ishakuwa hivyo.
 
wewe ni mjinga huna akili hata kidogo.....unawafny watu hawana akili, usikilize nyimbo za mpuuzi mwenzenu hlf uanze kujifanya ulikuwa unacheza draft ...mpotezeeni anataka mjadili vitu hewa
kwa hiyo unataka kusema kwamba nawapikia chai.
 
Mbona unasisitiza Sana Kwa mpalange?
Hiyari Yao binafsi wewe inakusumbua nini?
Mwanaume kaamua kuchagua fungu Hilo la mkewe kuliwa alete riziki ndani, na anajua. HAWEZI UMIA
 
kwa hiyo unataka kusema kwamba nawapikia chai.
tea.gif
 
Mbona unasisitiza Sana Kwa mpalange?
Hiyari Yao binafsi wewe inakusumbua nini?
Mwanaume kaamua kuchagua fungu Hilo la mkewe kuliwa alete riziki ndani, na anajua. HAWEZI UMIA
mimi nilishangaa tu jamaa kuona sawa.
 
MKUUU WW NI MTU BULE KABISA NA TATIZO HUNA KAZI UNAISHI KWA,KUBETI KWA MSAADA ZAIDI PM ME
 
Sina kazi wala pesa ila ninachoweza jivunia ni kuwa mwanaume pamoja na uvulana wangu. linapokuja swala la kusimama kama mwanaume kwa mwanamke sitaki ujinga kama huo kabsaa.

Ukiruhusu huo ujinga jua ipo siku mkeo atat*mbw* mbele yako
 
Umemsikiliza mejja kunta then unakuja na Chai zako za oohoo "sikwenda kazini nimeshinda geto"
 
MKUUU WW NI MTU BULE KABISA NA TATIZO HUNA KAZI UNAISHI KWA,KUBETI KWA MSAADA ZAIDI PM ME
bule kivipi babu kwani mjini nakula kwa mtu au kulala kwa mtu aseee emu acha zako kaka
 
wote mnaosema ni singeli ni sawa lakini kumbe huwa vinatokeaga kitaaa japo wanaimba
 
Back
Top Bottom