Sisi tunajaribu kuwastua ili wapunguze utegemezi kwa Tanzania ili kuwasaidia wakulima na wavuvi wa Kenya wanaolalamika kwa kukosa soko la bidhaa zao, wewe unataka waendelee kununua bidhaa zetu na kuzidisha kusambaratika kwa uchumi wao, kati yetu na wewe nani anayewasaidia kimawazo?
Sent using
Jamii Forums mobile app