Hivi inakuaje shirika la Afya linaajiri waalimu kudeal na mambo ya Afya? ( client tracking)

Hivi inakuaje shirika la Afya linaajiri waalimu kudeal na mambo ya Afya? ( client tracking)

Makonde plateu

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2022
Posts
1,443
Reaction score
3,480
Kuna shirika moja hapa Tanzania ni maarufu sana linahusiana na mambo ya ukimwi lipo mkoani Tabora na sehemu mbalimbali lakini cha ajabu sasa kuna halmashauri moja mkoa wa Tabora imeajiri waalimu kwa ajili ya kuwafuatilia wateja na mambo mengi yahusiano na utoaji wa dawa za kufubaza virus vya ukimwi, kinachoninikera sio kuajiri waalimu kinachikera ni majungu na unafiki kwa hao waalimu! Inakera.
 
Kuna shirika moja hapa Tanzania ni maarufu sana linahusiana na mambo ya ukimwi lipo mkoani Tabora na sehemu mbalimbali lakini cha ajabu sasa kuna halmashauri moja mkoa wa Tabora imeajiri waalimu kwa ajili ya kuwafuatilia wateja na mambo mengi yahusiano na utoaji wa dawa za kufubaza virus vya ukimwi, kinachoninikera sio kuajiri waalimu kinachikera ni majungu na unafiki kwa hao waalimu! Inakera.
Waalimu kwa asili ni watu wa majungu😅sababu ya elimu ya kuungaunga kwa wengi wao,pia wanapenda kudandia Sana fani zisizowahusu ilhali walikimbia masomo yatoayo hizo kazi.
 
Kuna shirika moja hapa Tanzania ni maarufu sana linahusiana na mambo ya ukimwi lipo mkoani Tabora na sehemu mbalimbali lakini cha ajabu sasa kuna halmashauri moja mkoa wa Tabora imeajiri waalimu kwa ajili ya kuwafuatilia wateja na mambo mengi yahusiano na utoaji wa dawa za kufubaza virus vya ukimwi, kinachoninikera sio kuajiri waalimu kinachikera ni majungu na unafiki kwa hao waalimu! Inakera.
Bora hilo linaajili angalau walimu wamesoma lakini kuna kashirika kule iringa kuna jamaa sijui kama hata darasa la saba alimaliza lakini ukienda hapo hosptal unakuta kajamaa kamekaa na zile HIV test kits kanapima wateja kabla ya kuingia kwa mganga. Nilijiuliza sana sikupata jibu kwasababu kama ni hivyo hapohapo kijijini kuna manesi,watu wa famasia na hao walimu pia lakini ndyo kwanza utawakuta shambani.
 
Waalimu kwa asili ni watu wa majungu[emoji28]sababu ya elimu ya kuungaunga kwa wengi wao,pia wanapenda kudandia Sana fani zisizowahusu ilhali walikimbia masomo yatoayo hizo kazi.
Dada usipende kuendekeza chuki zisizo na sababu hapo unaweza kuta umehifadhiwa pengine kwa dada ako unavimbisha tako tu kuongea diss kwa walimu huna hata credit ya civics unajikutaaaa acha hizo dada angu
 
Dada usipende kuendekeza chuki zisizo na sababu hapo unaweza kuta umehifadhiwa pengine kwa dada ako unavimbisha tako tu kuongea diss kwa walimu huna hata credit ya civics unajikutaaaa acha hizo dada angu
Ahahah credit ya civics? you wish,geez
 
Kuna shirika moja hapa Tanzania ni maarufu sana linahusiana na mambo ya ukimwi lipo mkoani Tabora na sehemu mbalimbali lakini cha ajabu sasa kuna halmashauri moja mkoa wa Tabora imeajiri waalimu kwa ajili ya kuwafuatilia wateja na mambo mengi yahusiano na utoaji wa dawa za kufubaza virus vya ukimwi, kinachoninikera sio kuajiri waalimu kinachikera ni majungu na unafiki kwa hao waalimu! Inakera.

Masuala ya ukimwi yanaweza kufanya na mtu yeyote anatakayepatiwa mafunzo.
1. Expert Client hawa ni watu wenye maambukizi ambao wameweza kuwa na ufuasi mzuri wa dawa kwa hiyo wanajengewa uwezo ili waweze kufundisha wengine.
2. M2M hawa ni wamama ambao wanawezeshwa ili wawafundishe wamama wengine waendao kliniki namna ya kujikinga na maambukizi au kumkinga mtoto asipate maambukizi kutoka kwa mama aliyeathirika.
Yako makundi mengi HOJA yangu ni kwamba hizi mambo sio Rocket Science yeyote akijengewa uwezo anaweza kutoa elimu na huduma kwenye hii issue.
Kwa hiyo kua mpole tu ila kama wanafanya mambo bila kuwa na ethics mfano kutoa siri za wagonjwa waripoti ukiwa ba ushahidi.
 
Waalimu kwa asili ni watu wa majungu[emoji28]sababu ya elimu ya kuungaunga kwa wengi wao,pia wanapenda kudandia Sana fani zisizowahusu ilhali walikimbia masomo yatoayo hizo kazi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] fallacy to ganerallization, Siyo waalimu wote ni vilaza Kama unavofikiri,[emoji1787]
Everyone is genius, but if you judge a fish by its ability to climb up a tree, it will take all of your life believing it is stupid.
Mimi ni mwalimu, with colorful academic performance records from secondary School to postgraduate level.[emoji1241]
Tatizo lenu ni dharau,ukitaka ubishi ntakuwekea academic transcripts zangu uone kama hiyo kauli ni valid
 
Kuna shirika moja hapa Tanzania ni maarufu sana linahusiana na mambo ya ukimwi lipo mkoani Tabora na sehemu mbalimbali lakini cha ajabu sasa kuna halmashauri moja mkoa wa Tabora imeajiri waalimu kwa ajili ya kuwafuatilia wateja na mambo mengi yahusiano na utoaji wa dawa za kufubaza virus vya ukimwi, kinachoninikera sio kuajiri waalimu kinachikera ni majungu na unafiki kwa hao waalimu! Inakera.
Mwanaume unakerwa ?
Au wew ni ke una ujauzito .
Mbona ni mambo ya zaania unayosema
Walimu wanafany Majukum mengi na mapya kila siku na yanafanikiw Tuu ndio maan wapo.
Kama unaona kuwa kuna miik wanakiuk kamsee kwa incharge wao
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] fallacy to ganerallization, Siyo waalimu wote ni vilaza Kama unavofikiri,[emoji1787]
Everyone is genius, but if you judge a fish by its ability to climb up a tree, it will take all of your life believing it is stupid.
Mimi ni mwalimu, with colorful academic performance records from secondary School to postgraduate level.[emoji1241]
Tatizo lenu ni dharau,ukitaka ubishi ntakuwekea academic transcripts zangu uone kama hiyo kauli ni valid
😛😛
 
Nayo hiyo ni ajira yakuhitaji specialist..?
Manina zenu badala mjiajiri mmetegesha makalio nyumban kwa shemej zenu mnaonea wivu vijana wenzenu wakipata part-time job...
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] fallacy to ganerallization, Siyo waalimu wote ni vilaza Kama unavofikiri,[emoji1787]
Everyone is genius, but if you judge a fish by its ability to climb up a tree, it will take all of your life believing it is stupid.
Mimi ni mwalimu, with colorful academic performance records from secondary School to postgraduate level.[emoji1241]
Tatizo lenu ni dharau,ukitaka ubishi ntakuwekea academic transcripts zangu uone kama hiyo kauli ni valid
Key point ni wengi wao 🙏wewe ni miongoni mwa "the remaining wachache.
 
Back
Top Bottom