Mbo Mpenza
JF-Expert Member
- Apr 11, 2017
- 445
- 1,114
Ukimwi ni suala mtambuka Kila kada wanajifunza hili swala katika kozi zao.
Usilete umaamuma wako na chuki zako dhidi ya walimu hao wasomi wa level mbali mbali
Hata wakiungaunga still wanabaki kuwa wasomi coz wamekaa class wamefaulu na kua awarded vyeti.
Jitambue.
Usilete umaamuma wako na chuki zako dhidi ya walimu hao wasomi wa level mbali mbali
Hata wakiungaunga still wanabaki kuwa wasomi coz wamekaa class wamefaulu na kua awarded vyeti.
Jitambue.