Hivi inakuaje shirika la Afya linaajiri waalimu kudeal na mambo ya Afya? ( client tracking)

Ukimwi ni suala mtambuka Kila kada wanajifunza hili swala katika kozi zao.

Usilete umaamuma wako na chuki zako dhidi ya walimu hao wasomi wa level mbali mbali

Hata wakiungaunga still wanabaki kuwa wasomi coz wamekaa class wamefaulu na kua awarded vyeti.

Jitambue.
 
Hili lichunguzwe haraka , kuna madhara makubwa kumpa mtu kazi isiyo ya taaluma yake kama unavyosema kuwa hakuna usiri kuna dalili zote za matokeo mabaya muda si mrefu.
 

Wanasema tatizo nyota sijui ni Kweli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…