hivi inakuwaje kwa mabinti!

hivi inakuwaje kwa mabinti!

ENOCK TUTU

Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
9
Reaction score
1
wanaume huwa wana usiri sana pale ambapo rafiki ake anakuwa ana mademu more than one, hata iwe rafiki ake awe amekwenda kumsindikiza binti mwingine, utasikia rafiki ake akisema oooh shemu karibu sana mwana kakumiss mbaya,ngoja nimstue anakuja sasa hivi.ningependa kujua hivi kwa mabinti hili lina kuwaje wanafichiana uovu au akuna kitu ka hicho!
 
Ukiona hivi ujue mtoa mada ana tabia hiyo sasa bahati mbaya katika pitapita zake moyo wake ukamdondokea mojawapo wa wahanga wake. Sasa si unajua mwizi siku zote huwaza na yeye anaibiwa?
Wewe jua tu one thing ; "He who lives by the sword dies by the sword"
ENd laifu kuntinyuz..
 
Wapo wengi tu wanaofichiana bana.

Hao wanawake siyo watakatifu hivyo. They are just as bad as men. Don't let nobody tell you otherwise.
 
wanaume huwa wana usiri sana pale ambapo rafiki ake anakuwa ana mademu more than one, hata iwe rafiki ake awe amekwenda kumsindikiza binti mwingine, utasikia rafiki ake akisema oooh shemu karibu sana mwana kakumiss mbaya,ngoja nimstue anakuja sasa hivi.ningependa kujua hivi kwa mabinti hili lina kuwaje wanafichiana uovu au akuna kitu ka hicho!

hebu waulize mabinti wa hapo shuleni/chuoni kwenu,watakupa jibu sahihi zaidi..
 
Mmmmmmh... Nitarudi kuona mabinti wanalongaje....
 
kama ilivyo kwa masela ndivyo ilivyo kwa madadadu tena wao ndio wabaya ile mbaya usipime..

kashashe ni pale wadada wanapogombana, siri zote huwa hadharani ili hali kwa wanaume ni tofauti kabisa
 
kama ilivyo kwa masela ndivyo ilivyo kwa madadadu tena wao ndio wabaya ile mbaya usipime..
Tena hao ni balaa kweli wakati nilipo kuwa msaidizi wa firauni, nilikuwa nikitaka mwanamke na mwambia rafiki yake wa kike huwezi kuamini siku ile ile navuliwa chupi...Kama humuamini tafuteni mwanamke ambaye ana wazungusheni, mpitie njia ya rafiki yake mtanipa jibu.


BTW wanawake hata mtu na dada yake wana siri, anaweza kukutongozea dada yake, kama anakupenda wana siri kali hao :A S shade:
 
Tena hao ni balaa kweli wakati nilipo kuwa msaidizi wa firauni, nilikuwa nikitaka mwanamke na mwambia rafiki yake wa kike huwezi kuamini siku ile ile navuliwa chupi...Kama humuamini tafuteni mwanamke ambaye ana wazungusheni, mpitie njia ya rafiki yake mtanipa jibu.


BTW wanawake hata mtu na dada yake wana siri, anaweza kukutongozea dada yake, kama anakupenda wana siri kali hao :A S shade:

mh husomeki kabisaa
 
Wapo wanaofichiana mpaka siku wanapogombana ndo utasikia wanashitakiana.
 
Back
Top Bottom