Wewe ni mme au mke?
Ikiwa ni mume! Inakuweje dushee haivunjiki hata kama imekaliwa.
Ni mazoezi tu na utayari wa mwili.
[emoji23] kabisa kabisaMkuu inaonekana hata chandimu hujacheza wewe. Kule unacheza nafasi zote. Kuna moja inaitwa "keeper na beki". Unacheza ndani na ukifika golini unadaka kabisa.
Sent using my Nokia Torch
Kati ya wachezaji wote, magolikipa ndio wana mazoezi makali sana. Ni lazima wawe na mnyumbuliko mkubwa.Wakuu Habari zenu?
Hivi kuna science gani mpaka goli kipa asiumie unakuta anaufata mpira kule apotagia ndege lakini na akitua yuko vizuri tu ,anaendelea na mchezo kama kawaida,sijawahi kusikia golikipa alipigiwa shuti karifata juu kaumia.
wewe sasa ukijirusha bila mpira lazima uvunje mbavu au aogope kuruka kabisa.
Hivi kuna science gani kwenye hilo?
View attachment 1067480
View attachment 1067482
View attachment 1067483
View attachment 1067484
View attachment 1067486
View attachment 1067488
View attachment 1067489
Sent from my iPhone using JamiiForums
aisee....Wewe ni mme au mke?
Ikiwa ni mume! Inakuweje dushee haivunjiki hata kama imekaliwa.
Ni mazoezi tu na utayari wa mwili.
Mazoezi mkuu
Kati ya wachezaji wote, magolikipa ndio wana mazoezi makali sana. Ni lazima wawe na mnyumbuliko mkubwa.
Uchawi hapo mazoezi tu, hata wewe ukifanya utaweza tu.
👍...
Wakati wanatua hawaanzi kutulia mbavu, either uanze mguu or mkono then mwili ndio unafata, nilishakuwa kipaWakuu Habari zenu?
Hivi kuna science gani mpaka goli kipa asiumie unakuta anaufata mpira kule apotagia ndege lakini na akitua yuko vizuri tu ,anaendelea na mchezo kama kawaida,sijawahi kusikia golikipa alipigiwa shuti karifata juu kaumia.
wewe sasa ukijirusha bila mpira lazima uvunje mbavu au aogope kuruka kabisa.
Hivi kuna science gani kwenye hilo?
View attachment 1067480
View attachment 1067482
View attachment 1067483
View attachment 1067484
View attachment 1067486
View attachment 1067488
View attachment 1067489
Sent from my iPhone using JamiiForums