Ladder 49
JF-Expert Member
- Dec 19, 2017
- 7,918
- 20,037
Wakuu Habari zenu?
Hivi kuna science gani mpaka goli kipa asiumie unakuta anaufata mpira kule apotagia ndege lakini na akitua yuko vizuri tu ,anaendelea na mchezo kama kawaida,sijawahi kusikia golikipa alipigiwa shuti karifata juu kaumia.
wewe sasa ukijirusha bila mpira lazima uvunje mbavu au aogope kuruka kabisa.
Hivi kuna science gani kwenye hilo?
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hivi kuna science gani mpaka goli kipa asiumie unakuta anaufata mpira kule apotagia ndege lakini na akitua yuko vizuri tu ,anaendelea na mchezo kama kawaida,sijawahi kusikia golikipa alipigiwa shuti karifata juu kaumia.
wewe sasa ukijirusha bila mpira lazima uvunje mbavu au aogope kuruka kabisa.
Hivi kuna science gani kwenye hilo?
Sent from my iPhone using JamiiForums