Hivi inakuwaje mtu ambaye mli-have a great time akaacha kukutafuta ghafla?

Hiyo great time labda ilikua kwako tu lakini kwake ilikua kawaida tu au kero fulani

Kuna ile una uhusiano wako halafu ukaenda mahali ukapata mchepuko ukaenjoy halafu baada ya hapo hutaki mazoea uka risk magusiano yako
 
Kama sio gono basi yutiyai ............hapo tu........hata mimi sikuongeleshi tena...........umeniachia miwasho miwasho kwenye bichwa la baharia
 
Wakati mwingine hata kauli za kukera zaweza kuwa sababu. Nilimtombar~ga mama mmoja Magomeni hapo mzuri sana, baada ya kuagana naye nikaondoka zangu ,siku za mbeleni nawasiliana naye nikamtomber tena si akajichanganya. Eti ananiambia "yeye Quuumar yake mwanaume yyt akishaingia huwa hatoki" , sikujibu sms zake wala kupokea calls zake tena!
 
Kwani uongo??
Si kweli ulimtafuta tenah!! 😹😹
 
Hivi inakuaje ume-meet na a person mna connection nzuri and mka have a good time and great sex .

Then all of a sudden kesho yake hakutafuti tena na hata ukimtafuta anakuwa amebadilika yani ile energy yake sio kama ya the first day alivyokuona.
Ujue alikuwa anazuga tu hakuwa na great time with you alikuwa ana fake kakula kamaliza kasepa so acha kujipa moyo
 
Great sex ya nyokweee πŸ˜‚πŸ˜‚
Ww ndio ulihisi umemuweza kumbe mwenzio alichokusudia hakukikuta.. POLE

Ila usiumie sana hata huku kuna baharia kapotezewa anapiga simu hovyo kwa manzi wake analalamika..!! Kisa cha kupotezawa ana poumbou ndefu kuliko mjegeje!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…