Hivi inakuwaje mtu ambaye mli-have a great time akaacha kukutafuta ghafla?

Hahahhaha aiseee
 
Something matter is quality time and not sex .

Mwanaume yupo tofauti unapokuja katika swala la ngono anaweza hata kutembea na mwanamke anayejiuza usiku mzima na aka-feel the same na mke wake .


Quality time - ndo unabidi uangalie kama ilikuepo na sio sex
 
Kama jinsi umeandika hili bandiko ndio jinsi unawasiliana nae. Hiyo ni sababu ya kwanza

Nimewahi acha wanawake wawili sababu ya upuuzi kama huu wako.... Mnachanganya kiswahili na broken English mnatoa maboko yasioeleweka, ni kichaa tu ndio ataweza wavumilia.
 
Safi kabisa usipoelewa na hii basi utakua chombo cha starehe daima.

Hakuna mtu ako na Energy na Attention kama mwanaume mwenye hajakudinya, Akishatupia tu akamwaga akaona michiriz ya makalio yako basi kazi ni kwako ujipendekeze au ushike njia yako.

#Acha kuamin na kutoa uchi kirahisi itapunguza disappointment.
 
Hivi inakuaje ume-meet na a person mna connection nzuri and mka have a good time and great sex .

Then all of a sudden kesho yake hakutafuti tena na hata ukimtafuta anakuwa amebadilika yani ile energy yake sio kama ya the first day alivyokuona.
Sababu ni nyingi kulingana na wahusika lakini mara nyingi ni kuwa na malengo ya muda mfupi (kashatimiza haja yake).

Na mwingine ni wale ambao hawataki mazoea sijui text, kupigiana simu, siku akikuhitaji utamuona tena na uchangamfu wote hasa ikiwa anakupa hela kila mnapokutana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…