Hivi inakuwaje mtu ambaye mli-have a great time akaacha kukutafuta ghafla?

Hivi inakuaje ume-meet na a person mna connection nzuri and mka have a good time and great sex .

Then all of a sudden kesho yake hakutafuti tena na hata ukimtafuta anakuwa amebadilika yani ile energy yake sio kama ya the first day alivyokuona.
Ukosefu wa mafunzo ya jando na unyago...

Ni kipengele wengi hawajui namna njema ya kufurahia tendo.
 
Utakuwa ulimuomba hela. Kuna wanawake mmefanya yenu, baada ya hapo umamoa hela nzuri tu baada ya tendo. Wiki haiishi anakwambia naomba hela ya matumizi, mara ninunulie kitu flani. Sasa mwanaume anaona huu ni usumbufu. Tena utakuta huyo mwanamke ana mtu wake, lakini ww ndio unabebeshwa matatizo yake.
 
Hivi inakuaje ume-meet na a person mna connection nzuri and mka have a good time and great sex .

Then all of a sudden kesho yake hakutafuti tena na hata ukimtafuta anakuwa amebadilika yani ile energy yake sio kama ya the first day alivyokuona.
Ushakula pesa zake na yeye alishalipia cost uchakavu sasa hapo bado unamdai nini?
 
Nifedipine kama Nifedipine-ccb
 
Either hukumfurahisha, sio mtundu kunako, usafi wako ndan wa mashaka, alikuwa tu nA nyege ,,, alokutaman, pengine hataki kukuharibia fyucha, aidha unammboa, pengine kuomba omba hela
 
Alitaka kukukula tu. Baada ya hapo kila mtu achukue 50 zake. Upwiru ukimrudia atakucheki, hakikisha simu iwe hewani na uwe usizimw data. Akimiss K yako atakucheki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…