Hivi inakuwaje mtu kasoma business administration degree halafu hawezi fungua hata genge la kuuza nyanya. A business administrate?

Hivi inakuwaje mtu kasoma business administration degree halafu hawezi fungua hata genge la kuuza nyanya a business administrate?

Genge la kuuza nyanya mtaji elfu 20

Hizo skili zake za business administration anataka akazionyeshee wapi?
Unachanganya business administration na sales management.

Lakini pia ni sawa na kuuliza unawezaje kuwa aircraft engineer huwezi hata kurusha Twin Otter, ndege ya abiria sita.
 
Unachanganya business administration na sales management.
Ukifungua genge unachofanya ni business administration sababu hufanyi sales tu

unapanga mipango ya genge,unanunua,unasimamia transport logistics ,una stock ,unauza ,unapokea na kutunza pesa za mauzo na mahesabu yake na kufanya mnaamuzi ya bei ,marketing nk
 
Hoja yako ni sawa na kumpa mtu wa umri miaka 40 kuendesha baiskeli ya mtoto wa miaka 5
 
Hiyo inapendeza kufundishwa kuanzia ngazi ya digrii ya pili au iwe kama postgraduate ya mwaka mmoja. Tuhangaike sana na kozi za ujasiriamali, ufundi, uvuvi, kilimo, ufugaji

Sasa kijana kamaliza form 6 unampeleka miaka 3 akasomee digrii ya business administration. Akimaliza mwajiri anamuajiri kama business administrator! Ndo maana kazi zinaharibika
 
Hilo ni genge la nyanya na vitunguu?
 
Biashara haipo kama unavyofikiria mkuu. Kuwaza biashara na kufanya biashara ni vitu viwili tofauti kabisa.
 
Asa hiyo utaifanya kwa mtaji wa 20000 mkuu?
 
Wewe ni motivation speaker ambae umetawaliwa na illusion (Vitu vya kufikirika)
 
Mfumo wa elimu tangu awali uliwawaeka watu kuwa na mentality ya kuajiriwa zaidi. Pia background, mazingira kiukuaji/social interactions na exposure vinaweza pia kuchangia. Hivyo mageuzi kiakili/kifikra/kimtazamo yanahitaji kufanywa mapema ili kuwajenga watu kuwa na muelekeo huo kifikra na kimtazamo.
 
Hii ni sawa na kusema Engineer wa magari anashindwaje kutengeneza koroboi au baiskeli
 
Umshangae na aliyesoma chemical processing halaf anavaa viatu havina kiwi
 
Hivi inakuwaje mtu kasoma business administration degree halafu hawezi fungua hata genge la kuuza nyanya a business administrate?

Genge la kuuza nyanya mtaji elfu 20

Hizo skili zake za business administration anataka akazionyeshee wapi?
Business administration haijikiti zaidi kwenye kuajiri, kufukuza, sheria za kazi, mafao, makato n.k.?
Sidhani kama wanafundishwa jinsi ya kutafuta mtaji na kyzungurusha pesa ili kutengeneza faida, wachilia uwekaji mzuri wa taarifa za kifedha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…