Gatabhanya
JF-Expert Member
- Nov 16, 2024
- 2,644
- 5,178
Mtu anajua ana ugonjwa wa UKIMWI lakini hakuambii mwishoe na wewe unapata hivi nini kinasababisha haya??
Uzi tayari
Uzi tayari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikupatia mkononi au haukuchukua tahadhari "asikupe"?Mtu anajua ana ugonjwa wa UKIMWI lakini hakuambii mwishoe na wewe unapata hivi nini kinasababisha haya??
Uzi tayari
One man down, I repeat man down.Mtu anajua ana ugonjwa wa UKIMWI lakini hakuambii mwishoe na wewe unapata hivi nini kinasababisha haya??
Uzi tayari
Atakuchoma bila sababu? Ukianzisha chokochoko au kuingilia vitu visivokuhusu ujue utapigwa tuHuyo ni sawa tu na anaeshika kisu na kukuchoma.
SahihiNdo inakua hivyo hivyo mzei wewe cha msingi usiuze mechi
Unakuta mtu anajua anao lakini hataki kuvaa ndomu ili na wewe uunganishwe kwenye gridWamatumbi wengi hatujali afya zetu , mtu hakujali afya yake mpaka akapata ndio atajali ya kwako?
Huenda ndo sababuAkikwambia utamnyima Tamu
Kuna mechi zingine unasema bora nijilipueUnawajibika kwa kila kinachokutokea mkuu. Kwanini hutumii kinga kwa mtu mpya ambaye humjui atokako? Mi naona ni sawa tu maana akikwambia utamkataa na yeye tayari anakupenda
Hata akikuambia hutaamini kama ni pisi ya kwenda utalazaimisha utamwambia unaweka kichwa tu, mwisho unaliwa,Mtu anajua ana ugonjwa wa UKIMWI lakini hakuambii mwishoe na wewe unapata hivi nini kinasababisha haya??
Uzi tayari
Jikite kwa madaOne man down, I repeat man down.