Hivi inakuwaje?

Hivi inakuwaje?

Kuna demu yupo mtaan hapa ana ukimwi na nilisha piga sana mechi pale ila kabla sijapiga alikuwa akiniambia tuzime feni maana ikiwa on inakausha kule chini so kutasababisha mchubuko,

mm nilikuwa najua kabisa demu ana ukimwi ila nilikuwa naenjoy kulala nae ila sasa hvi kanikataa kabisa anasema mara zote zimelala nae na sijapata ukimwi basi hataki kuniua..

ile pisi ni kali ni nyeupe kiuno nyigu chembamba wastani nyasha ipo.. ana tatto kifuan
 
Kuna demu yupo mtaan hapa ana ukimwi na nilisha piga sana mechi pale ila kabla sijapiga alikuwa akiniambia tuzime feni maana ikiwa on inakausha kule chini so kutasababisha mchubuko,

mm nilikuwa najua kabisa demu ana ukimwi ila nilikuwa naenjoy kulala nae ila sasa hvi kanikataa kabisa anasema mara zote zimelala nae na sijapata ukimwi basi hataki kuniua..

ile pisi ni kali ni nyeupe kiuno nyigu chembamba wastani nyasha ipo.. ana tatto kifuan
Mpige na ndomu
 
Unawajibika kwa kila kinachokutokea mkuu. Kwanini hutumii kinga kwa mtu mpya ambaye humjui atokako? Mi naona ni sawa tu maana akikwambia utamkataa na yeye tayari anakupenda
Ukikutana na demu humjui, tumia kinga na kisha piga kimoja tu.

Sasa wewe jifanye unataka kumkomoa(wengine wanaunganisha la kwanza na la pili)
 
Kikubwa wanaume kwa wanawake msiuze mechi hata kama mnauchu wa nyama na hela kiasi gani. Ukiuza mechi elewa kuwa haina tofauti na kujinyonga alafu kamba ikatike kabla hujafa
 
Kila mtu hutafuta wa kuconnect naye kama tu ule mtandao wa unganishaa wengi upate faida..sjui saiv zimepotelea wap
 
Heri kuwa na ukimwi mara 100 mkuu, kuliko kisukari au kupararazi mkuu ...hapa nauguza mgonjwa aliyepararazii aiseé mateso anayopitiaa na maumivu yake c poa ...

Ni huzunii
 
Ukimwi Si Kwa Ajili Ya Ng'ombe au Mbuzi Ni Kwa Ajili Yetu.
 
Street may look neat but never walk barefooted.

If someone is walking barefooted and jumping from one partner to another, One day he/she will understand why HIV is always written in capital letters.
 
Back
Top Bottom