Gatabhanya
JF-Expert Member
- Nov 16, 2024
- 2,644
- 5,178
- Thread starter
- #21
Mola ndo nani huyo?Zingatia mlo kamili na mazoezi pia usijiweke mbali na mola wako mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mola ndo nani huyo?Zingatia mlo kamili na mazoezi pia usijiweke mbali na mola wako mkuu
nimejikita mkuu kwa kugundua man down.Jikite kwa mada
Na mimi sijuiMkuu kwani unaingia kichwa kichwa , hivyo tu bila kinga
Mtu anajua ana ugonjwa wa UKIMWI lakini hakuambii mwishoe na wewe unapata hivi nini kinasababisha haya??
Uzi tayari
Then usimlaum mtu ndo ushalipuka tayariKuna mechi zingine unasema bora nijilipue
Mpige na ndomuKuna demu yupo mtaan hapa ana ukimwi na nilisha piga sana mechi pale ila kabla sijapiga alikuwa akiniambia tuzime feni maana ikiwa on inakausha kule chini so kutasababisha mchubuko,
mm nilikuwa najua kabisa demu ana ukimwi ila nilikuwa naenjoy kulala nae ila sasa hvi kanikataa kabisa anasema mara zote zimelala nae na sijapata ukimwi basi hataki kuniua..
ile pisi ni kali ni nyeupe kiuno nyigu chembamba wastani nyasha ipo.. ana tatto kifuan
Ndio ujue hakuna atakae kupenda kama wewe unavyojipenda ,kabla ya kutaka kupendwa na wengine ni muhimu kujipenda wewe kwanza 🤔Unakuta mtu anajua anao lakini hataki kuvaa ndomu ili na wewe uunganishwe kwenye grid
Sawanimejikita mkuu kwa kugundua man down.
Ukikutana na demu humjui, tumia kinga na kisha piga kimoja tu.Unawajibika kwa kila kinachokutokea mkuu. Kwanini hutumii kinga kwa mtu mpya ambaye humjui atokako? Mi naona ni sawa tu maana akikwambia utamkataa na yeye tayari anakupenda
Ndio ujue hakuna atakae kupenda kama wewe unavyojipenda ,kabla ya kutaka kupendwa na wengine ni muhimu kujipenda wewe kwanza
Ngumu sana ni wachache sana na wanaotuasa kabla huwa tunaona nia yao ni kutunyima fursana.wengi hatujali afya zetu , mtu hakujali afya yake mpaka akapata ndio atajali ya kwako?
Umenena vyemaKikubwa wanaume kwa wanawake msiuze mechi hata kama mnauchu wa nyama na hela kiasi gani. Ukiuza mechi elewa kuwa haina tofauti na kujinyonga alafu kamba ikatike kabla hujafa
Wengine wanamvalia Kilemba 😅Ukikutana na demu humjui, tumia kinga na kisha piga kimoja tu.
Sasa wewe jifanye unataka kumkomoa(wengine wanaunganisha la kwanza na la pili)
Wengi bado wanapima kwa macho mkuu nikiwa kijana mdogo nilishakoswakoswa mpaka leo nina nidhamu ya hali ya juu, sera yangu ni mimi kwanza mbele ,halafu ndio upwiru unafuata.Ngumu sana ni wachache sana na wanaotuasa kabla huwa tunaona nia yao ni kutunyima fursana.