Hivi inakuwaje?

Wengi bado wanapima kwa macho mkuu nikiwa kijana mdogo nilishakoswakoswa mpaka leo nina nidhamu ya hali ya juu, sera yangu ni mimi kwanza mbele ,halafu ndio upwiru unafuata.
Sera ya faragha hiyo ni nzuri na tunaijua tuliokoswa koswa
 
Wengine wanaripiza kisasi wanajiachia unasema umeokota dodo kumbe unaenda kuwaka,
 
Heri kuwa na ukimwi mara 100 mkuu, kuliko kisukari au kupararazi mkuu ...hapa nauguza mgonjwa aliyepararazii aiseé mateso anayopitiaa na maumivu yake c poa ...

Ni huzunii
Unasema heri ukimwi umeze vidonge maisha Yako yote?!haya magonjwa tunaweza kuchukua tahadhari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…