Hongera sana bro,Nadhani hata kipato kimeongezeka.Nimeacha kutumia Twitter, Facebook, Instagram, Whatsapp, Imo, Badoo, tangu 2013, inamaana kipindi chote hicho nilikuwa natumia Google, YouTube, Whatsapp, na Goal.Com kwaajili ya soka tu.
2017 July ndipo nilipoongeza JF na hadi sasa hunikuti Twitter, Facebook, Instagram, Imo, Badoo, zaidi ya WhatsApp, Google, YouTube, JF na Goal.com tu.
NB:
Mwaka 2013 ndiyo mwaka nilipoacha kuangalia video za X, kupiga punyeto na kununua Malaya.
WAFILIPI 4:13
"Nayaweza mambo yote katika yeye anitiaye nguvu."
Tena sana na sana, wakati mwingine hii mitandao unaweza kufungwa na mapepo hadi ukashindwa kufanya mambo mengine zaidi ya kushinda tu humo, mwombe Mungu utashinda kila jambo Kaka.Hongera sana bro,Nadhani hata kipato kimeongezeka.
Inategemea unataka mtandao ukufanyie nn.Habari za usiku huu,
Nauliza hivi Inawezekana kweli kwa Kijana kama mimi( Mr.Kiokotee) kwa huu Utandawazi nikaishi kama nipo kolomije huko bila kutumia mtandao wowote wa Kijamii yaani nitumie Simu ya kitochi tuu kupiga na kupokea baasi.
Kwa mbinu gani hili litawezekana?
Kumbe na mimi nnaweza kuacha kupiga Master[emoji41]Nimeacha kutumia Twitter, Facebook, Instagram, Whatsapp, Imo, Badoo, tangu 2013, inamaana kipindi chote hicho nilikuwa natumia Google, YouTube, Whatsapp, na Goal.Com kwaajili ya soka tu.
2017 July ndipo nilipoongeza JF na hadi sasa hunikuti Twitter, Facebook, Instagram, Imo, Badoo, zaidi ya WhatsApp, Google, YouTube, JF na Goal.com tu.
NB:
Mwaka 2013 ndiyo mwaka nilipoacha kuangalia video za X, kupiga punyeto na kununua Malaya.
WAFILIPI 4:13
"Nayaweza mambo yote katika yeye anitiaye nguvu."
Unaweza sana Chifu kikubwa hasa mwombe Mungu akupatie nguvu zake ili uondokwe na hayo mapepo yaliyokufyunga ktk kujichua [emoji2]Kumbe na mimi nnaweza kuacha kupiga Master[emoji41]