Hivi inawezekana kuondoa alama za chale usoni na zipotee kabisa?

Hivi inawezekana kuondoa alama za chale usoni na zipotee kabisa?

May Day

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2018
Posts
6,311
Reaction score
9,027
Kwa wale Wajuzi wa mambo ya urembo naomba kujua kama hilo linawezekana kwani nina rafiki yangu Mdada, ni mrembo na ana chale mbili ndogo kwenye mashavu yake.

Bado sijamuuliza kama zinamkera ila ningetaka kwanza kujua kama kuna uwezekano wa kuzifuta ili atakaposema hazipendi basi niwe kwenye nafasi ya kumshauri nini cha kufanya.

Mdada 13.png
 
Huo ni utamaduni wa kabila lao ni sawa na wale wanaovaa shanga nane kiunoni lakini kama unataka kuzitoa sio mbaya.
 
Huo ni utamaduni wa kabila lao ni sawa na wale wanaovaa shanga nane kiunoni lakini kama unataka kuzitoa sio mbaya
Ndio nataka kujua njia za kuziondoa, Mtoto mzuri ila naona hizo chale zinapunguza mvuto.
 
Kwa wale Wajuzi wa mambo ya urembo naomba kujua kama hilo linawezekana kwani nina rafiki yangu Mdada, ni mrembo na ana chale mbili ndogo kwenye mashavu yake.

Bado sijamuuliza kama zinamkera ila ningetaka kwanza kujua kama kuna uwezekano wa kuzifuta ili atakaposema hazipendi basi niwe kwenye nafasi ya kumshauri nini cha kufanya.

View attachment 1440291
Asiondoe mbona fresh tu uso safi kabisa kitu natural midomo inavutia nk. usije anza ondoa chale ukampotezea ubora wake. kubaliana na hali ishi nae

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sina haja na mada acha nimdadavue muhusika.
Mtoto mkali sana.afu katuliza macho wala ayakwapuikwapui.pure black beauty.

toto kapangika jicho limekaa mahala pake,lips zimekaa vizuri na ushungi wake amezidi kunipa utulivu wa akili nafsi na mwili.

Wale wanawake wa peponi kumbe ata hapa tanzania wapo.
nampatia mkopo wa pumzi na afya njema yeye na familia yake.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Una kiherehere kaka
Kumbe hujui Kama Hazipendi Au Anazipenda, we unakuja kuuliza jinsi ya kutoa Chale haaa [emoji38][emoji38][emoji38]

I'm on that good kush and alcohol
Mimi sizipendi, na nikimuuliza kuhusu hizo chale bila kuwa na ushauri wa kufanya nini, naweza kumuumiza moyoni maana atajua moja kwa moja kuwa sizipendi hizo chale/alama.

Iwapo atasema yeye yupo nazo confortable mimi sitakuwa na shida, ila akisema kwamba naye anatamani kuzitoa basi nataka tayari niwe na jibu kama inawezekana kuzitoa au la.
 
Dawa yake ni kutafuta wembe na kuzikata tu!

"رمضان كريم وصوم مقبول"
 
Kama ni yeye kwenye hiyo picha, acha mkuu wala usiwaze kumshauri aziondoe. Anavutia sana hivyo alivyo. She's so cute.
 
Kwa wale Wajuzi wa mambo ya urembo naomba kujua kama hilo linawezekana kwani nina rafiki yangu Mdada, ni mrembo na ana chale mbili ndogo kwenye mashavu yake.

Bado sijamuuliza kama zinamkera ila ningetaka kwanza kujua kama kuna uwezekano wa kuzifuta ili atakaposema hazipendi basi niwe kwenye nafasi ya kumshauri nini cha kufanya.

View attachment 1440291
Hiyo ni anuani hakuna haja ya kuindoa. Nafikiri ya huyo mdada ni P.O.BOX 111 Mtwara

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sina haja na mada acha nimdadavue muhusika.
Mtoto mkali sana.afu katuliza macho wala ayakwapuikwapui.pure black beauty.

toto kapangika jicho limekaa mahala pake,lips zimekaa vizuri na ushungi wake amezidi kunipa utulivu wa akili nafsi na mwili.

Wale wanawake wa peponi kumbe ata hapa tanzania wapo.
nampatia mkopo wa pumzi na afya njema yeye na familia yake.


Sent using Jamii Forums mobile app
😅😅😅😅🙌utawatafuna sana.
 
Back
Top Bottom