Point of No Return 19
JF-Expert Member
- Jul 2, 2023
- 203
- 472
Kuna mtu ana ushuhuda? Basi atudhuhudie.
Hivi inawezekana kupata Mke/Mume mtandaoni?
Hivi inawezekana kupata Mke/Mume mtandaoni?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio hawa hawa wa mtaani lakini unapokutana nae mtandaoni kuna tofauti na unapokutana nae mtaani.Umechelewa kujua.
WANAWAKE WA MITANDAONI NDIO HAO WA MTAANI.
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Ebu fafanua Hannah[emoji848]Ndio hawa hawa wa mtaani lakini unapokutana nae mtandaoni kuna tofauti na unapokutana nae mtaani.
Ulie nae bado yupo mtandaoni ! Je bado sio wife materialHivi kweli mtu mzima na akili zako timamu unaenda kutafuta mchumba IG au FB
Kwenye mitandao sana sana ni wale wa friend with benefits au one night stand
Sikumpatia kwenye mitandaoUlie nae bado yupo mtandaoni ! Je bado sio wife material
unaweza pata mwanamke wakuoa mahali popote.Sikumpatia kwenye mitandao
Kwani wewe bado☺️Wanakuja kukujibu waliokutana na kuoana.😂
Sawa ila kwa mimi mitandaoni HAPANA humo kwangu ni machimbo ya malayaunaweza pata mwanamke wakuoa mahali popote.
sahihi kabisa💯Ukiingia kwa nia ya kutafuta mchumba hupati… wewe tafuta rafiki ukishamzoea miezi 3 ndio ingia na hiyo hoja mkae kwenye mahusiano mwaka 1 kisha funga ndoa
Inawezekana