Kuna kilaza anaweza kujitafutia?Open University ni chuo cha vilaza. Kusoma hapo tu undergraduate inaonyesha hali aliyo nayo kichwani. Kati ya vyuo ulivyotaka hakuna hata kimoja ataweza kufundisha.
Namshauri Masters asome katika moja ya hivyo vyuo alafu apate GPA kubwa(4.4 na kuendelea) Kama hiyo aliyopata hapo Open. Vinginevyo mwambie atulize mbwanga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]amepataje GPA 4.4 akawa hajui issues ndogo kama hizo? nina mashaka naye
Kwani harmorapa hatambuliki na COSOTA?? Je ni mwanamuziki mzuri?Kweli ni vilaza kweli[emoji848][emoji848]
Mbona tcu wanaitambua?
Utakua umesoma hukoNyuzi zako tu huwa zinaonesha wewe ni kiazi kitamu,kiunde,juma kilaza.
Intellectual arrogance Yako ni kiwango cha SGR.
huna hoja muflisi.
Huna utafiti wowote kuhusu Hilo Chuo.
Hoja zako umezitoa kwa msingi wa hisia tu sio uhalisia.
Nenda kaangalie top ranking university za nchi hii Hilo Chuo utakiona. Kipo pale juu na akina udsm.
Open university kwa nyakati za Sasa za kiuchumi na kiteknolojia ndio best university.
Ina PhD Holder na professors wa kutosha.
Mifumo ya kisasa ufundishaji.
Tafitii za kutosha.
Wana customer care nzuri.
Na graduands wake wako competitive maana wanafanyis utafiti wanachosoma in deep tofauti na wameza madesa.
Chuo kikuu huria huwezi soma kama huna vigezo vya TCU katika level zote.
Kwakua watz ni wavivu kusoma(hili swala ni janga la Taifa) Ndio maana Wana Notion mbaya kuhusu Hilo Chuo.
Ila wangejua kwamba nyakati za Sasa za mkwamo wa kiuchumi na mchangamko wa teknolojia OPEN university ni only option.
Mpaka shaka hadi hapo utakuws umeelewa ni kiasi gani ulivyo mjinga.
Huko wanaenda waliofeli advance. Chukua ukweli huoKuna kilaza anaweza kujitafutia?
Hata Mimi hizo one ninazo.Utakua umesoma huko
Mm nilivyopata tu Div I Advance, moja kwa moja niliondokana na aibu ya kusoma vyuo aina ya Open University
Unafikiri Div 1 ni mchezo? Ungepata One usingekua mwalimuHata Mimi hizo one ninazo.
Una la lingine
Mkuu ualimu ni passion wapo watu wamepiga vijiti advance na sasa walimu nguli.Unafikiri Div 1 ni mchezo? Ungepata One usingekua mwalimu
Kuna kilaza anaweza kujitafutia?
Tena degree ya kwanza haiwezekaniKuna jamaa angu yuko hapo open,huwa simwelewi, yani yeye toka alivyojoin kazi yake ni kulewa tu huku anawalipa jamaa flani hivi wamfanyie assignments zake.huwa napata mashaka sana na wahitimu wa hapo open.
Ila pia tukubaliane hakuna mtu mwenye grades nzuri utamkuta anasoma open asee.
Umejuaje kama Mimi ni mwalimuUnafikiri Div 1 ni mchezo? Ungepata One usingekua mwalimu
acha kukalilil vitu chuo cha vilaza kivipi sasaOpen University ni chuo cha vilaza. Kusoma hapo tu undergraduate inaonyesha hali aliyo nayo kichwani. Kati ya vyuo ulivyotaka hakuna hata kimoja ataweza kufundisha.
Namshauri Masters asome katika moja ya hivyo vyuo alafu apate GPA kubwa(4.4 na kuendelea) Kama hiyo aliyopata hapo Open. Vinginevyo mwambie atulize mbwanga
Ahsante kawa ushauri kiongozi ,Nyuzi zako tu huwa zinaonesha wewe ni kiazi kitamu,kiunde,juma kilaza.
Intellectual arrogance Yako ni kiwango cha SGR.
huna hoja muflisi.
Huna utafiti wowote kuhusu Hilo Chuo.
Hoja zako umezitoa kwa msingi wa hisia tu sio uhalisia.
Nenda kaangalie top ranking university za nchi hii Hilo Chuo utakiona. Kipo pale juu na akina udsm.
Open university kwa nyakati za Sasa za kiuchumi na kiteknolojia ndio best university.
Ina PhD Holder na professors wa kutosha.
Mifumo ya kisasa ufundishaji.
Tafitii za kutosha.
Wana customer care nzuri.
Na graduands wake wako competitive maana wanafanyis utafiti wanachosoma in deep tofauti na wameza madesa.
Chuo kikuu huria huwezi soma kama huna vigezo vya TCU katika level zote.
Kwakua watz ni wavivu kusoma(hili swala ni janga la Taifa) Ndio maana Wana Notion mbaya kuhusu Hilo Chuo.
Ila wangejua kwamba nyakati za Sasa za mkwamo wa kiuchumi na mchangamko wa teknolojia OPEN university ni only option.
Mpaka shaka hadi hapo utakuws umeelewa ni kiasi gani ulivyo mjinga.
Rais wako Samia suluhu alisoma hapo open university,leo anawaongoza nyie wote na div 1 zenu na GPA zenuππUtakua umesoma huko
Mm nilivyopata tu Div I Advance, moja kwa moja niliondokana na aibu ya kusoma vyuo aina ya Open University
Elimu ya sasa hivi haitaji ukubwa wa chuo bali ni kujiongeza kwa mwanafunzi mwenyewe hivyo mtu anayezungumzia ukubwa wa chuo bado hana maarifa kichwani.Rais wako Samia suluhu alisoma hapo open university,leo anawaongoza nyie wote na div 1 zenu na GPA zenu[emoji38][emoji38]
Chuo asome hadi Rais wa nchi wewe kanyaboya hata ubalozi wa nyumba kumi hujawahi shika useme cha aibu?[emoji38][emoji38][emoji38]
Ina maana wewe una akili sana kushinda akina lukuvi,Aweso?na wengineo
Sasa anatofauti gani na hao mabinti wanaotoa mbumbusa Kati vyuo vingine kwa ma lectures ili wapatiwe marks ktk mitihani yao?Kuna jamaa angu yuko hapo open,huwa simwelewi, yani yeye toka alivyojoin kazi yake ni kulewa tu huku anawalipa jamaa flani hivi wamfanyie assignments zake.huwa napata mashaka sana na wahitimu wa hapo open.
Ila pia tukubaliane hakuna mtu mwenye grades nzuri utamkuta anasoma open asee.
Acha utani, huwezi kupata Div one ukaenda kusoma ualimuMkuu ualimu ni passion wapo watu wamepiga vijiti advance na sasa walimu nguli.
Unabisha nini sasa? Au nimepiga kwenye mshono?Umejuaje kama Mimi ni mwalimu
Kama sio kutumia hisia zako zisizo ma uhalisia.
Nimesoma shule kongwe za hii zote katika level za upili wa chini na upili wa juu.
Na Nina matokea Bomba.
Nilishakuambia wewe ni mpuuzi.
Baada ya hii comment uniqoute.
Sababu wewe ni takataka[emoji706][emoji706][emoji706]
Elewa kwanza mada, hata hivyo kigezo cha kuwa raisi ni degree yoyote hata kama ulisoma Teku au Sekomu sijui.Rais wako Samia suluhu alisoma hapo open university,leo anawaongoza nyie wote na div 1 zenu na GPA zenu[emoji38][emoji38]
Chuo asome hadi Rais wa nchi wewe kanyaboya hata ubalozi wa nyumba kumi hujawahi shika useme cha aibu?[emoji38][emoji38][emoji38]
Ina maana wewe una akili sana kushinda akina lukuvi,Aweso?na wengineo
Ukweli huo, umezeacha kukalilil vitu chuo cha vilaza kivipi sasa