Hivi inawezekana kwa aliyesoma Chuo Kikuu Huria shahada ya kwanza na pili akafundisha UDSM, SUA, Muhimbili au UDOM?

Hivi inawezekana kwa aliyesoma Chuo Kikuu Huria shahada ya kwanza na pili akafundisha UDSM, SUA, Muhimbili au UDOM?

Open University ni chuo cha vilaza. Kusoma hapo tu undergraduate inaonyesha hali aliyo nayo kichwani. Kati ya vyuo ulivyotaka hakuna hata kimoja ataweza kufundisha.

Namshauri Masters asome katika moja ya hivyo vyuo alafu apate GPA kubwa(4.4 na kuendelea) Kama hiyo aliyopata hapo Open. Vinginevyo mwambie atulize mbwanga
Kuna kilaza anaweza kujitafutia?
 
Nyuzi zako tu huwa zinaonesha wewe ni kiazi kitamu,kiunde,juma kilaza.

Intellectual arrogance Yako ni kiwango cha SGR.

huna hoja muflisi.

Huna utafiti wowote kuhusu Hilo Chuo.

Hoja zako umezitoa kwa msingi wa hisia tu sio uhalisia.

Nenda kaangalie top ranking university za nchi hii Hilo Chuo utakiona. Kipo pale juu na akina udsm.

Open university kwa nyakati za Sasa za kiuchumi na kiteknolojia ndio best university.

Ina PhD Holder na professors wa kutosha.

Mifumo ya kisasa ufundishaji.

Tafitii za kutosha.

Wana customer care nzuri.

Na graduands wake wako competitive maana wanafanyis utafiti wanachosoma in deep tofauti na wameza madesa.

Chuo kikuu huria huwezi soma kama huna vigezo vya TCU katika level zote.

Kwakua watz ni wavivu kusoma(hili swala ni janga la Taifa) Ndio maana Wana Notion mbaya kuhusu Hilo Chuo.

Ila wangejua kwamba nyakati za Sasa za mkwamo wa kiuchumi na mchangamko wa teknolojia OPEN university ni only option.

Mpaka shaka hadi hapo utakuws umeelewa ni kiasi gani ulivyo mjinga.
Utakua umesoma huko

Mm nilivyopata tu Div I Advance, moja kwa moja niliondokana na aibu ya kusoma vyuo aina ya Open University
 
Kuna kilaza anaweza kujitafutia?

Kuna jamaa angu yuko hapo open,huwa simwelewi, yani yeye toka alivyojoin kazi yake ni kulewa tu huku anawalipa jamaa flani hivi wamfanyie assignments zake.huwa napata mashaka sana na wahitimu wa hapo open.
Ila pia tukubaliane hakuna mtu mwenye grades nzuri utamkuta anasoma open asee.
 
Kuna jamaa angu yuko hapo open,huwa simwelewi, yani yeye toka alivyojoin kazi yake ni kulewa tu huku anawalipa jamaa flani hivi wamfanyie assignments zake.huwa napata mashaka sana na wahitimu wa hapo open.
Ila pia tukubaliane hakuna mtu mwenye grades nzuri utamkuta anasoma open asee.
Tena degree ya kwanza haiwezekani

Labda masters
 
Unafikiri Div 1 ni mchezo? Ungepata One usingekua mwalimu
Umejuaje kama Mimi ni mwalimu

Kama sio kutumia hisia zako zisizo ma uhalisia.

Nimesoma shule kongwe za hii zote katika level za upili wa chini na upili wa juu.

Na Nina matokea Bomba.

Nilishakuambia wewe ni mpuuzi.

Baada ya hii comment uniqoute.

Sababu wewe ni takataka[emoji706][emoji706][emoji706]
 
Open University ni chuo cha vilaza. Kusoma hapo tu undergraduate inaonyesha hali aliyo nayo kichwani. Kati ya vyuo ulivyotaka hakuna hata kimoja ataweza kufundisha.

Namshauri Masters asome katika moja ya hivyo vyuo alafu apate GPA kubwa(4.4 na kuendelea) Kama hiyo aliyopata hapo Open. Vinginevyo mwambie atulize mbwanga
acha kukalilil vitu chuo cha vilaza kivipi sasa
 
Nyuzi zako tu huwa zinaonesha wewe ni kiazi kitamu,kiunde,juma kilaza.

Intellectual arrogance Yako ni kiwango cha SGR.

huna hoja muflisi.

Huna utafiti wowote kuhusu Hilo Chuo.

Hoja zako umezitoa kwa msingi wa hisia tu sio uhalisia.

Nenda kaangalie top ranking university za nchi hii Hilo Chuo utakiona. Kipo pale juu na akina udsm.

Open university kwa nyakati za Sasa za kiuchumi na kiteknolojia ndio best university.

Ina PhD Holder na professors wa kutosha.

Mifumo ya kisasa ufundishaji.

Tafitii za kutosha.

Wana customer care nzuri.

Na graduands wake wako competitive maana wanafanyis utafiti wanachosoma in deep tofauti na wameza madesa.

Chuo kikuu huria huwezi soma kama huna vigezo vya TCU katika level zote.

Kwakua watz ni wavivu kusoma(hili swala ni janga la Taifa) Ndio maana Wana Notion mbaya kuhusu Hilo Chuo.

Ila wangejua kwamba nyakati za Sasa za mkwamo wa kiuchumi na mchangamko wa teknolojia OPEN university ni only option.

Mpaka shaka hadi hapo utakuws umeelewa ni kiasi gani ulivyo mjinga.
Ahsante kawa ushauri kiongozi ,
Ngoja lifanyiwe kazi
 
Utakua umesoma huko

Mm nilivyopata tu Div I Advance, moja kwa moja niliondokana na aibu ya kusoma vyuo aina ya Open University
Rais wako Samia suluhu alisoma hapo open university,leo anawaongoza nyie wote na div 1 zenu na GPA zenu😆😆

Chuo asome hadi Rais wa nchi wewe kanyaboya hata ubalozi wa nyumba kumi hujawahi shika useme cha aibu?😆😆😆

Ina maana wewe una akili sana kushinda akina lukuvi,Aweso?na wengineo
 
Rais wako Samia suluhu alisoma hapo open university,leo anawaongoza nyie wote na div 1 zenu na GPA zenu[emoji38][emoji38]

Chuo asome hadi Rais wa nchi wewe kanyaboya hata ubalozi wa nyumba kumi hujawahi shika useme cha aibu?[emoji38][emoji38][emoji38]

Ina maana wewe una akili sana kushinda akina lukuvi,Aweso?na wengineo
Elimu ya sasa hivi haitaji ukubwa wa chuo bali ni kujiongeza kwa mwanafunzi mwenyewe hivyo mtu anayezungumzia ukubwa wa chuo bado hana maarifa kichwani.
 
Kuna jamaa angu yuko hapo open,huwa simwelewi, yani yeye toka alivyojoin kazi yake ni kulewa tu huku anawalipa jamaa flani hivi wamfanyie assignments zake.huwa napata mashaka sana na wahitimu wa hapo open.
Ila pia tukubaliane hakuna mtu mwenye grades nzuri utamkuta anasoma open asee.
Sasa anatofauti gani na hao mabinti wanaotoa mbumbusa Kati vyuo vingine kwa ma lectures ili wapatiwe marks ktk mitihani yao?
 
Umejuaje kama Mimi ni mwalimu

Kama sio kutumia hisia zako zisizo ma uhalisia.

Nimesoma shule kongwe za hii zote katika level za upili wa chini na upili wa juu.

Na Nina matokea Bomba.

Nilishakuambia wewe ni mpuuzi.

Baada ya hii comment uniqoute.

Sababu wewe ni takataka[emoji706][emoji706][emoji706]
Unabisha nini sasa? Au nimepiga kwenye mshono?
 
Rais wako Samia suluhu alisoma hapo open university,leo anawaongoza nyie wote na div 1 zenu na GPA zenu[emoji38][emoji38]

Chuo asome hadi Rais wa nchi wewe kanyaboya hata ubalozi wa nyumba kumi hujawahi shika useme cha aibu?[emoji38][emoji38][emoji38]

Ina maana wewe una akili sana kushinda akina lukuvi,Aweso?na wengineo
Elewa kwanza mada, hata hivyo kigezo cha kuwa raisi ni degree yoyote hata kama ulisoma Teku au Sekomu sijui.

Ila katafute kigezo Cha kuwa Assistant Lecturer UDSM, ndio utaelewa
 
Back
Top Bottom