hivi inawezekana kweli

hivi inawezekana kweli

kingazi

Member
Joined
Jul 4, 2011
Posts
35
Reaction score
7
kuna ndugu yangu mmoja ameoa, wanaaminiana sana na mkewe hakuna hata siku moja waliogombana ila tatizo mkewe amejifungua mtoto mzungu pure hivi karibuni ndugu yangu yeye hakusema k2 japo alikuwa anaumia, mkewe akamuomba ndugu yangu huyo wakapime dna kama anamashaka maana mke alimuona mumewe japo hasemi ila anaumia mno walivyo kwenda kupima vipimo vinaonyesha mtoto ni wa ndugu yangu sasa bado najiuliza hivi iawezekana vipi ikiwa sisi wenyewe ktk kizazi che2 hakukua na mzungu na wala familia yao pia maana tunaifahamu.
 
Bac 2na assume huyo dada alipata mimba kwa uwezo wa roho mtakatifu..
 
Back
Top Bottom