Hahahahahaha looohhUme nichekesha kwa kweli mmmhhHiyo DNA test imechakachuliwa
Ha ha haa!! Chonde chonde isije kuwa ni zeruzeru huyo mwamwita Mzungu manake sikuwahi soma genetics ya kuzaa mzungu kwa wazazi wa kiafrika.Poleni asee.
Muhimbili waliwahi kutoa takwimu zaidi ya asilimia hamsini ya wanandoa wanaokwenda kupima DNA wanakuta si mtoto wa mume.
Pia nikabahatika kuongea na mmoja wa watu wa ustawi wa jamii akanambia ili kupunguza watoto wa mitaani mara nyingi kwa kesi kama ya nduguyo watatoa jibu mtoto ni wa baba. Akaendelea kusema jibu la kweli linakuwa pale mtoto anapogombaniwa na baba wawili.
Nashauri ndugu yako atafute rafiki yake ambaye ni daktari akamsaidie kupata jibu la kweli.
kuna ndugu yangu mmoja ameoa, wanaaminiana sana na mkewe hakuna hata siku waliogombana ila tatizo mkewe amejifungua mtoto mzungu pure hivi karibuni ndugu yangu yeye hakusema k2 japo alikuwa anumia, mkewe akamuomba ndugu yangu huyo wakapime dna kama anamashaka maana mke alimuona mumewe japo hasemi ila anaumia mno walivyo kwenda kupima vipimo vinaonyesha mtoto ni wa ndugu yangu sasa bado najiuliza hivi iawezekana vipi ikiwa sisi wenyewe ktk kizazi che2 hakukua na mzungu.
kuna ndugu yangu mmoja ameoa, wanaaminiana sana na mkewe hakuna hata siku waliogombana ila tatizo mkewe amejifungua mtoto mzungu pure hivi karibuni ndugu yangu yeye hakusema k2 japo alikuwa anumia, mkewe akamuomba ndugu yangu huyo wakapime dna kama anamashaka maana mke alimuona mumewe japo hasemi ila anaumia mno walivyo kwenda kupima vipimo vinaonyesha mtoto ni wa ndugu yangu sasa bado najiuliza hivi iawezekana vipi ikiwa sisi wenyewe ktk kizazi che2 hakukua na mzungu.
Tuzungumze lolote lile isipokuwa suala la maadili katika asasi zetu. Uchakachuaji umejikita katika kila kona ya asasi zetu.ndugu,
2 ethical issues kuhusu wanyama na binadamu, hairuhusiwi kutoa majibu ya uongo kwa mteja/mhusika
kuna ndugu yangu mmoja ameoa, wanaaminiana sana na mkewe hakuna hata siku waliogombana ila tatizo mkewe amejifungua mtoto mzungu pure hivi karibuni ndugu yangu yeye hakusema k2 japo alikuwa anumia, mkewe akamuomba ndugu yangu huyo wakapime dna kama anamashaka maana mke alimuona mumewe japo hasemi ila anaumia mno walivyo kwenda kupima vipimo vinaonyesha mtoto ni wa ndugu yangu sasa bado najiuliza hivi iawezekana vipi ikiwa sisi wenyewe ktk kizazi che2 hakukua na mzungu.
me naona nisichangie maan hatamwanangu wa miaka mi 4 anaweza kutoa jibu
Kinga'sti......