hivi inawezekana kweli

hivi inawezekana kweli

Hakuna kisicho wezekana kwa mungu lakini kama baba golo na mama golo mkazae mzugu duh mtihani,baba mtoto ataona kaibiwa tuu hata kama anamuamini vp mkewe na ukiwa na ndugu wanoko ndio balaaaaaaaaaaaa inazidi.
 
kwa Imani mbona kila kitu kinawezekana, yawezekana ni Albino nyie mnaita mzungu
 
Aiseee umenikumbusha bushoke.. Kama ana wasiwasi na vipimo akapime mwenyewe sehemu nyingine.
Nafikiri post ya afrodenzi hapo chini itawapunguzia mashaka.
 
Tatizo ninyi ndugu mnamwona Mungu kama binamu yenu tu! Mnasahau kabisa kama yote kwake yeye yanawezekana. Ebu tumpeni utukufu wake kwa yote.
 
Back
Top Bottom