Desire mobutu seseseko
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 987
- 1,426
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee Mimi Niko na rafiki anguu since college tunaitana babe, mpenzi, sweetheart, laaziz na majina kibao na mpenzi wake alipata taabu sanaa kuzoea since Mimi Niko single all this time na yeyee akiitwa jina lakee tuu but now ameanza kuzoea tuu.Wakuu nina demu nina mpenda sana na ananipenda ila jana nimekuta sms akiwa nachart na anko wake ninae mjua kuwa ni anko wake kinachonishangaza wanaitana honey na babe hivi inawezekana mtu na anko wake kuitana hny na babe kweli nishaurini kabla kichwa changu hakijaamuwa maamuzi magumu maana kichwa changu hichi nakijua kwa kuamuwa japo yeye anasema wamezoeana kuitana hivyo na anko wake nae ni kijana mwenzake
Kwanii wakee??Mhhhh!ila inaweza ikawa kweli hivi ila anko kweli ale mzigo mtoto wa dada yake
[emoji23][emoji23][emoji38][emoji38][emoji38]me kila nkijaribuu I end up heartbrokenHivi watu mnatoa wapi huu ujasiri wa kutumia hili neno
Hakuna kumuuliza Hapo wanapiganaa Mitiiii hao majamaaa...i think it's best ukamuuliza
Tayari kashaliwa huyo we fanya tu maamuzi magumu.Wakuu nina demu nina mpenda sana na ananipenda ila jana nimekuta sms akiwa nachart na anko wake ninae mjua kuwa ni anko wake kinachonishangaza wanaitana honey na babe hivi inawezekana mtu na anko wake kuitana hny na babe kweli nishaurini kabla kichwa changu hakijaamuwa maamuzi magumu maana kichwa changu hichi nakijua kwa kuamuwa japo yeye anasema wamezoeana kuitana hivyo na anko wake nae ni kijana mwenzake
Sasa na wewe ndio zwazwa kabisa, yani unamlinganisha Mwanadamu na Mbwa?Wapp mbwa wanakula mpaka watoto zao washindwe kwa mtoto wa dada yke
Huyo anamtafuna toka zamaniWakuu nina demu nina mpenda sana na ananipenda ila jana nimekuta sms akiwa nachart na anko wake ninae mjua kuwa ni anko wake kinachonishangaza wanaitana honey na babe hivi inawezekana mtu na anko wake kuitana hny na babe kweli nishaurini kabla kichwa changu hakijaamuwa maamuzi magumu maana kichwa changu hichi nakijua kwa kuamuwa japo yeye anasema wamezoeana kuitana hivyo na anko wake nae ni kijana mwenzake
Mbona siku hizi kawaida sana watu wanakula mpaka binti zao sembuse huyo mjombaMhhhh!ila inaweza ikawa kweli hivi ila anko kweli ale mzigo mtoto wa dada yake