Hivi inawezekana mtu na anko wake kuitana 'honey na babe' kweli?

Anko anamega mzigo huo ndo ukweli kwahyo ni juu yako kuamua. Sikuiz ndugu kulana imekuwa kawaida sanaaa nakumbuka nilopikuwa mdogo sekondari huko nshawahi kuwa na mahusiano ya kimapenz na mtoto wa binamu yangu huyu tulikuwa age mate japo sikumgonga lakin mate na michezo mingine ya kipuuzi tulifanya sanaa
 
Kama huyo demu wako ni Muhaya ama Mnyambo basi juwa analiwa na huyo mjomba wake....wale jamaa hawana miiko kwenye kuchapana miti ndani ya ukoo.
 
Mkuu, wewe ni Muhaya ama Mnyambo?
 
Ukiona manyoya Mkuu......Za kuambiwa 😜
 
Huenda si ankal wake huyo, hao wanakulana tu suala la ankal ni kisingizio tu ili kukuchanganya akili na kukupoteza
 
Inawezekana.. mbona mimi mjomba wangu ananiita mke wake na Mimi namuita Mume wangu 😀😀
Hio si kwa utani utani, halafu mjomba wako akiwa na watoto wakubwa kama wewe haina noma
 
Acha uzembe.....kuna mabinamu wanakulana vizuri tu nnawajua Ila watu hawajasanuka
 
Mkuu naomba niseme wewe ni stupid
Ulithibitisha vp kama ni mjomba wake!?
 
Ninacho weza kushauri mshushe daraja awe Malaya tu wa kawaida uendelee kujichapia kwa bei nafuu huku ukiendeleza harakati zako
 
Bikra inahusika hapa!

c.c Jokajeusi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…