The Infamous
JF-Expert Member
- May 11, 2009
- 731
- 121
napata tabu kidogo, nasikia wanasema mkeo anakonda yawezekana tendo la ndo halijamkubali...au manii yako hayajamkubali ndio maana anakonda, yangemkubali ungenenepa balaa. kisayansi hii kitu inaukweli kwa kiwango gani?
mkeo anatumia dawa za uzazi wa mpango?, nitajie urefu wake na uzito wake tuone kama kweli kakonda au la, na je kwanini unadhani kunenepa ndiyo afya?
anapungua tu mwili,
urefu futi 4.5 uzito 55... Pia sidhani kama kunenepa ndio afya, bali mwenyewe alileta hii hoja ya kupungua huenda tendo la ndoa limemkataa.