The Infamous
JF-Expert Member
- May 11, 2009
- 731
- 121
Napata tabu kidogo, nasikia wanasema mkeo anakonda yawezekana tendo la ndoa halijamkubali, au manii yako hayajamkubali ndio maana anakonda, yangemkubali ungenenepa balaa. kisayansi hii kitu inaukweli kwa kiwango gani?