Hivi inawezekana mwanaume kuishi single milele?

Hivi inawezekana mwanaume kuishi single milele?

Top gun maverick

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2017
Posts
2,080
Reaction score
2,871
Habari wana jukwaa pendwa kabisa wa MMU sasa naenda moja kwa moja kwenye point ya msingi Mimi ni kijana wa miaka ishirini but kimwonekano ni mfupi kiasi lakini kila nikijaribu kumtokea mwanamke naishia kuambiwa "thanks kwa kuninipenda" ila sina feelings na wewe mpaka nimeamua kuishi single tu for life sababu hawa wanawake pasua kichwa sana sasa naamini humu wapo waliopitia hali kama Mimi nayopitia tupeane uzoefu walitumia techniques gani mpaka kusahau habari za opposite sex yaan hawa wana wake.
 
Habari wana jukwaa pendwa kabisa wa MMU sasa naenda moja kwa moja kwenye point ya msingi Mimi ni kijana wa miaka ishirini but kimwonekano ni mfupi kiasi lakini kila nikijaribu kumtokea mwanamke naishia kuambiwa "thanks kwa kuninipenda" ila sina feelings na wewe mpaka nimeamua kuishi single tu for life sababu hawa wanawake pasua kichwa sana sasa naamini humu wapo waliopitia hali kama Mimi nayopitia tupeane uzoefu walitumia techniques gani mpaka kusahau habari za opposite sex yaan hawa wana wake.
Kwahiyo ufupi wako umekuponza?

Kuna kitu hujakielewa bado... hebu tafuta pesa uone kama hawatakuwa na feelings na wewe.

Wachuchu wa siku hizi uchawi wao ni pesa. Baaas!
 
Mchawi pesa huo ufupi wanakuzuga tu. Kuna MTU namjua mfupi na Ana umbo LA kitoto lakini mbaba anakaribia 40 kama hajavuka. Anakulaga madem wazuri balaa. Kapiga mpaka Vera. Angekua hana hela yule sijui angetembeaga na nani.
Narudia MCHAWI PESA
 
Habari wana jukwaa pendwa kabisa wa MMU sasa naenda moja kwa moja kwenye point ya msingi Mimi ni kijana wa miaka ishirini but kimwonekano ni mfupi kiasi lakini kila nikijaribu kumtokea mwanamke naishia kuambiwa "thanks kwa kuninipenda" ila sina feelings na wewe mpaka nimeamua kuishi single tu for life sababu hawa wanawake pasua kichwa sana sasa naamini humu wapo waliopitia hali kama Mimi nayopitia tupeane uzoefu walitumia techniques gani mpaka kusahau habari za opposite sex yaan hawa wana wake.
Mungu wa ajabu sana, amini usiamini kila mtu/kiumbe ameumbiwa wa kufanana nae, kikubwa kwanza jitahidi kutafuta mwanamke wa level yako.

Kinachokusibu ni kuwa unatafuta bahati ya kupendwa na wanawake wa daraja lisilo lako, mapenzi hayana bahati nasibu, ukitumia pesa utapata mtu fake zaidi na itakuwa mateso kwako milele. Jielewe na chagua daraja lako.
 
Tafuta kwanza pesa na hayo mengine utazidishiwa.
 
Sema hujui kutongoza mzee najua watu wafupi wenye uwezo mkubwa mbele ya wanawake tena sio unaweza kupata mwanamke tu una uwezo wa kupata mwanamke mzur kwelikweli....ukishindwa kbs rafuta hela uwe na hela nyingi hlf una nuna mda wote huwez kosa mwanamke [emoji2]
 
Habari wana jukwaa pendwa kabisa wa MMU sasa naenda moja kwa moja kwenye point ya msingi Mimi ni kijana wa miaka ishirini but kimwonekano ni mfupi kiasi lakini kila nikijaribu kumtokea mwanamke naishia kuambiwa "thanks kwa kuninipenda" ila sina feelings na wewe mpaka nimeamua kuishi single tu for life sababu hawa wanawake pasua kichwa sana sasa naamini humu wapo waliopitia hali kama Mimi nayopitia tupeane uzoefu walitumia techniques gani mpaka kusahau habari za opposite sex yaan hawa wana wake.
Kuna pia kurefuka kwa mara ya mwisho by 25 to 27 usirefuka hapo basi sahau..!
 
Habari wana jukwaa pendwa kabisa wa MMU sasa naenda moja kwa moja kwenye point ya msingi Mimi ni kijana wa miaka ishirini but kimwonekano ni mfupi kiasi lakini kila nikijaribu kumtokea mwanamke naishia kuambiwa "thanks kwa kuninipenda" ila sina feelings na wewe mpaka nimeamua kuishi single tu for life sababu hawa wanawake pasua kichwa sana sasa naamini humu wapo waliopitia hali kama Mimi nayopitia tupeane uzoefu walitumia techniques gani mpaka kusahau habari za opposite sex yaan hawa wana wake.
Mwenzako stamina shorwebwenzi kaopoa mnyarwanda we endelea kulialia tu na huo umbilikimo wako
 
Kabla ya kukata tamaa fikiria yule Mlemavu mwenye urefu wa ndoo ndogo wa Huko twara aliyeoa hiv karibuni, na ameoa mwanamke Asiye na ulemavu
 
Ila mwanaume mfupi nayo inahitaji moyo kuwa nae, raha mwanaume awe mrefu bwana bonge la bwana hasa pandikizi la maana, yaani nkipita nae kanshika mkono ninatamba ninavimba.
Haya wanaume warefu gongeni like hii comment kwanza oneni nlivyowafagilia.
 
Ila mkuu miaka ishirini bado tafuta pesa kama wadau wanavyokuambia wapenda pesa watakukubali ila siku zikiisha jua huna chako.
 
Habari wana jukwaa pendwa kabisa wa MMU sasa naenda moja kwa moja kwenye point ya msingi Mimi ni kijana wa miaka ishirini but kimwonekano ni mfupi kiasi lakini kila nikijaribu kumtokea mwanamke naishia kuambiwa "thanks kwa kuninipenda" ila sina feelings na wewe mpaka nimeamua kuishi single tu for life sababu hawa wanawake pasua kichwa sana sasa naamini humu wapo waliopitia hali kama Mimi nayopitia tupeane uzoefu walitumia techniques gani mpaka kusahau habari za opposite sex yaan hawa wana wake.
Kuumulize Kadinal Pengo au Mh. Askofuu mkuu Ruwaichi
 
Mungu wa ajabu sana, amini usiamini kila mtu/kiumbe ameumbiwa wa kufanana nae, kikubwa kwanza jitahidi kutafuta mwanamke wa level yako.

Kinachokusibu ni kuwa unatafuta bahati ya kupendwa na wanawake wa daraja lisilo lako, mapenzi hayana bahati nasibu, ukitumia pesa utapata mtu fake zaidi na itakuwa mateso kwako milele. Jielewe na chagua daraja lako.
. Daaa aisee thanks mkuu
 
Back
Top Bottom