Top gun maverick
JF-Expert Member
- Dec 10, 2017
- 2,080
- 2,871
- Thread starter
- #21
. Hahhhh ndo naingia first year udom ngoja nipate booomTafuta pesa ww...wale mbilikimo wa pepe kale wana mademu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
. Hahhhh ndo naingia first year udom ngoja nipate booomTafuta pesa ww...wale mbilikimo wa pepe kale wana mademu
sawa mkuu ngoja nitafute mulaDawa ya penzi ni pesa.
Hutapata shidaa.wana kuona mlala hoi.hata elfu kumi ya kutolea gundu hunaa?
ndo hivo ila ndo wana sema no feelingsMademu wafupi mbona wengi tu.
Tafuta wanyiramba,wanyaturu,utokosa ata mmoja ndugu.ndo hivo ila ndo wana sema no feelings
kwan hizo kabila huwa hawakatai mkuu maana nackia ni wazuli balaaaTafuta wanyiramba,wanyaturu,utokosa ata mmoja ndugu.
YesHabari wana jukwaa pendwa kabisa wa MMU sasa naenda moja kwa moja kwenye point ya msingi Mimi ni kijana wa miaka ishirini but kimwonekano ni mfupi kiasi lakini kila nikijaribu kumtokea mwanamke naishia kuambiwa "thanks kwa kuninipenda" ila sina feelings na wewe mpaka nimeamua kuishi single tu for life sababu hawa wanawake pasua kichwa sana sasa naamini humu wapo waliopitia hali kama Mimi nayopitia tupeane uzoefu walitumia techniques gani mpaka kusahau habari za opposite sex yaan hawa wana wake.