Top gun maverick
JF-Expert Member
- Dec 10, 2017
- 2,080
- 2,871
Kwahiyo ufupi wako umekuponza?Habari wana jukwaa pendwa kabisa wa MMU sasa naenda moja kwa moja kwenye point ya msingi Mimi ni kijana wa miaka ishirini but kimwonekano ni mfupi kiasi lakini kila nikijaribu kumtokea mwanamke naishia kuambiwa "thanks kwa kuninipenda" ila sina feelings na wewe mpaka nimeamua kuishi single tu for life sababu hawa wanawake pasua kichwa sana sasa naamini humu wapo waliopitia hali kama Mimi nayopitia tupeane uzoefu walitumia techniques gani mpaka kusahau habari za opposite sex yaan hawa wana wake.
Na vile vikina Aki na Ukwa vya Nollywood vimeoa mabinti wakali kama ZariTafuta pesa ww...wale mbilikimo wa pepe kale wana mademu
Mungu wa ajabu sana, amini usiamini kila mtu/kiumbe ameumbiwa wa kufanana nae, kikubwa kwanza jitahidi kutafuta mwanamke wa level yako.Habari wana jukwaa pendwa kabisa wa MMU sasa naenda moja kwa moja kwenye point ya msingi Mimi ni kijana wa miaka ishirini but kimwonekano ni mfupi kiasi lakini kila nikijaribu kumtokea mwanamke naishia kuambiwa "thanks kwa kuninipenda" ila sina feelings na wewe mpaka nimeamua kuishi single tu for life sababu hawa wanawake pasua kichwa sana sasa naamini humu wapo waliopitia hali kama Mimi nayopitia tupeane uzoefu walitumia techniques gani mpaka kusahau habari za opposite sex yaan hawa wana wake.
Kuna pia kurefuka kwa mara ya mwisho by 25 to 27 usirefuka hapo basi sahau..!Habari wana jukwaa pendwa kabisa wa MMU sasa naenda moja kwa moja kwenye point ya msingi Mimi ni kijana wa miaka ishirini but kimwonekano ni mfupi kiasi lakini kila nikijaribu kumtokea mwanamke naishia kuambiwa "thanks kwa kuninipenda" ila sina feelings na wewe mpaka nimeamua kuishi single tu for life sababu hawa wanawake pasua kichwa sana sasa naamini humu wapo waliopitia hali kama Mimi nayopitia tupeane uzoefu walitumia techniques gani mpaka kusahau habari za opposite sex yaan hawa wana wake.
Mbilikimo wa pepe kale mbali mkuu mwambie Mbona Tausi wa bongo movie ana mtotoTafuta pesa ww...wale mbilikimo wa pepe kale wana mademu
Mwenzako stamina shorwebwenzi kaopoa mnyarwanda we endelea kulialia tu na huo umbilikimo wakoHabari wana jukwaa pendwa kabisa wa MMU sasa naenda moja kwa moja kwenye point ya msingi Mimi ni kijana wa miaka ishirini but kimwonekano ni mfupi kiasi lakini kila nikijaribu kumtokea mwanamke naishia kuambiwa "thanks kwa kuninipenda" ila sina feelings na wewe mpaka nimeamua kuishi single tu for life sababu hawa wanawake pasua kichwa sana sasa naamini humu wapo waliopitia hali kama Mimi nayopitia tupeane uzoefu walitumia techniques gani mpaka kusahau habari za opposite sex yaan hawa wana wake.
Kuumulize Kadinal Pengo au Mh. Askofuu mkuu RuwaichiHabari wana jukwaa pendwa kabisa wa MMU sasa naenda moja kwa moja kwenye point ya msingi Mimi ni kijana wa miaka ishirini but kimwonekano ni mfupi kiasi lakini kila nikijaribu kumtokea mwanamke naishia kuambiwa "thanks kwa kuninipenda" ila sina feelings na wewe mpaka nimeamua kuishi single tu for life sababu hawa wanawake pasua kichwa sana sasa naamini humu wapo waliopitia hali kama Mimi nayopitia tupeane uzoefu walitumia techniques gani mpaka kusahau habari za opposite sex yaan hawa wana wake.
. Daaa aisee thanks mkuuMungu wa ajabu sana, amini usiamini kila mtu/kiumbe ameumbiwa wa kufanana nae, kikubwa kwanza jitahidi kutafuta mwanamke wa level yako.
Kinachokusibu ni kuwa unatafuta bahati ya kupendwa na wanawake wa daraja lisilo lako, mapenzi hayana bahati nasibu, ukitumia pesa utapata mtu fake zaidi na itakuwa mateso kwako milele. Jielewe na chagua daraja lako.
au CIO nipe advice mkuuPole sana