Hivi inawezekana rais bachelor kukaa ikulu?

Hivi Mwinyi alikuwa na wake wangapi? Na huyu tuliye naye ana wake wangapi? Je, hawa ni mfano wa viongozi bora?

sheria ya dini yao inaruhusu, ingekuwa kwa mkapa na nyerere sawa
 
Mbona tunaongopeana? Mkapa alikuwa na mama Mkapa bwana. Mbona Mkapa alikuwa na watoto wakubwa tu kabla ya kuingia madaraka?

Yule mama ni mke wa Basil Mramba aliwai funga ndoa na Mkapa hivo sheria za katoliki mke ni yule uliyefunga naye ndoa mara ya kwanza.

Hivo ikabid Basil Mramba amwachie mkapa na yeye akaukwaa uwaziri wa fedha
 
sheria ya dini yao inaruhusu, ingekuwa kwa mkapa na nyerere sawa

Sina haja ya ku castigate misingi ya kidini, narudi kwenye siasa kwamba kama kweli kigezo ni kuwa na mke au kama kuwa na mke ni faida ya ziada kisiasa, vipi hao walio na wengi? Ni viongozi bora?
 
Miye Shauko langu ni Dk Slaa Kwenda Ikulu awe bachela awe hajaoa havinihusu mimi,
HAKIKA NITAMPIGANIA DK SLAA MPAKA JASHO LA MWISHO AINGIE IKULU NA JOSEPHINE NDIYO FIRST LADY MWENYE WIVU AJINYONGE TUU.
 
Umemwona slaa tuu mbo msaliti hataki hata kuoa


Sent from my iPhone 5 using JamiiForums
 
Ndugu nilimaanisha kuwa kwa mtu aliyezaliwa akiwa hawezi kumwingilia mwanamke lakini pia si shoga; maana watu wa aina hii wapo. Kiukweli watu wa aina hii hawawezi oa maana hawataweza wahudumia wake zao. Hawana haki ya kuwa Rais?
ndio maana wakatoliki wanataka padre lazima awe rijali.., kuna matatizo makubwa sana kuwa na kiongozi aina hiyo.., muangalie mtikila.. ndio utanielewa..,
 
hapotezi hata siku moja haki yake ya ndoa lakini anaweza akashindwa kufanya majukumu yake ipasavyo kwa kumhudumia rais ambaye ni mumewe.Ikitokea hivi,huyu rais mwenye mke mlemavu wa kushindwa kumtunza atakuwa na tofauti gani rais bachelor?
Nadhani issue si awepo au asipo bali majukumu yake kama 1st lady.
 
Mbowe hawezi kugombea uraisi sababu katiba mpya itataka mgombea uraisi angalau aweze kuwa na degree sasa mbowe na form four yake ataenda wapi hata ubunge hataweza kwenda,kingine slaa nae hawezi kuwa mgombea sababu hana mke,labda mabele marando












------

Kama Mbowe ni Form four leaver, aliwezaje kugombea urais mwaka 2005 wakati Katiba inahitaji mgombea awe na shahada ya kwanza wewe kilaza????
 
Nyie ndio wale wazee wa jinsia moja naona ndio unakoelekea

Ishu si jinsia moja hapa kaka au hufahamu kuwa kuna watu wanazaliwa hawawezi kusimamisha na hivyo kupoteza uwezo wa kuwaingilia wanawake lakini hawafanyi hicho unachokisema. Hii ipo na huu ni ulemavu kama ulivyo ulemavu mwingine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…