Obugwa Izoba
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 10,033
- 10,622
- Thread starter
- #61
Hivi Mwinyi alikuwa na wake wangapi? Na huyu tuliye naye ana wake wangapi? Je, hawa ni mfano wa viongozi bora?
sheria ya dini yao inaruhusu, ingekuwa kwa mkapa na nyerere sawa