#COVID19 Hivi ingekuwaje kama Corona ingeanzia kwenye Serikali ya Samia?

#COVID19 Hivi ingekuwaje kama Corona ingeanzia kwenye Serikali ya Samia?

Mpinzire

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2013
Posts
7,503
Reaction score
13,463
Najaribu kuangalia matamko ya kuforce vitu yakina Mtaka na Makala! Najikuta nawaza hivi watanzania tungekuwaje kama Covid ingeanzia kwenye awamu ya 6? Tusingekuwa Lockdown kweli? Maana naona dizaini kama wanatuvizia tu wanatamani sana waweke mpaka lockdown wapate misaada huko ughaibuni.
 
Najaribu kuangalia matamko ya kuforce vitu yakina Mtaka na Makala! Najikuta nawaza hivi watanzania tungekuwaje kama Covid ingeanzia kwenye awamu ya 6? Tusingekuwa Lockdown kweli? Maana naona dizaini kama wanatuvizia tu wanatamani sana waweke mpaka lockdown wapate misaada huko ughaibuni.
Korona ndiyo imemfanya Samia amekuwa rais. So, suala la korona kuanzia kwenye utawala wake halipo duniani.

Swali jingine?
 
Najaribu kuangalia matamko ya kuforce vitu yakina Mtaka na Makala! Najikuta nawaza hivi watanzania tungekuwaje kama Covid ingeanzia kwenye awamu ya 6? Tusingekuwa Lockdown kweli? Maana naona dizaini kama wanatuvizia tu wanatamani sana waweke mpaka lockdown wapate misaada huko ughaibuni.
chaos kabisa yani ingekua worse saizi kila wakituvizia tunakwepa ha ha ha ha ha magufuli alikua na mabaya yake na mazuri yake
 
Najaribu kuangalia matamko ya kuforce vitu yakina Mtaka na Makala! Najikuta nawaza hivi watanzania tungekuwaje kama Covid ingeanzia kwenye awamu ya 6? Tusingekuwa Lockdown kweli? Maana naona dizaini kama wanatuvizia tu wanatamani sana waweke mpaka lockdown wapate misaada huko ughaibuni.
Ingemfyeka yeye kwanza
 
Kuna Waziri yupo hoi kwa Covid19
IMG-20210802-WA0106.jpg
 
Tusingeona uhalisia wa corona kama ambavyo sasa watanzania tunavyoona uhalisia wa corona, tungeishi maisha ya tabu sana kwa hofu ya corona kuliko uhalisia wa hiyo corona yenyewe kitu ambacho Magufuli alikiona.
 
Back
Top Bottom