Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Misaada yenyewe sh ngapi sasa!?Najaribu kuangalia matamko ya kuforce vitu yakina Mtaka na Makala! Najikuta nawaza hivi watanzania tungekuwaje kama Covid ingeanzia kwenye awamu ya 6? Tusingekuwa Lockdown kweli? Maana naona dizaini kama wanatuvizia tu wanatamani sana waweke mpaka lockdown wapate misaada huko ughaibuni.