Korona ndiyo imemfanya Samia amekuwa rais. So, suala la korona kuanzia kwenye utawala wake halipo duniani.Najaribu kuangalia matamko ya kuforce vitu yakina Mtaka na Makala! Najikuta nawaza hivi watanzania tungekuwaje kama Covid ingeanzia kwenye awamu ya 6? Tusingekuwa Lockdown kweli? Maana naona dizaini kama wanatuvizia tu wanatamani sana waweke mpaka lockdown wapate misaada huko ughaibuni.
chaos kabisa yani ingekua worse saizi kila wakituvizia tunakwepa ha ha ha ha ha magufuli alikua na mabaya yake na mazuri yakeNajaribu kuangalia matamko ya kuforce vitu yakina Mtaka na Makala! Najikuta nawaza hivi watanzania tungekuwaje kama Covid ingeanzia kwenye awamu ya 6? Tusingekuwa Lockdown kweli? Maana naona dizaini kama wanatuvizia tu wanatamani sana waweke mpaka lockdown wapate misaada huko ughaibuni.
Kama ni yule wa jkt, tayari kishaumana.Kuna Waziri yupo hoi kwa Covid19
Ingemfyeka yeye kwanzaNajaribu kuangalia matamko ya kuforce vitu yakina Mtaka na Makala! Najikuta nawaza hivi watanzania tungekuwaje kama Covid ingeanzia kwenye awamu ya 6? Tusingekuwa Lockdown kweli? Maana naona dizaini kama wanatuvizia tu wanatamani sana waweke mpaka lockdown wapate misaada huko ughaibuni.
Kaupiga mwingii, hadi anaelekea kutoa bokooochaos kabisa yani ingekua worse saizi kila wakituvizia tunakwepa ha ha ha ha ha magufuli alikua na mabaya yake na mazuri yake
.... wachache watakuelewa.Korona ndiyo imemfanya Samia amekuwa rais. So, suala la korona kuanzia kwenye utawala wake halipo duniani.
Swali jingine?
Kuna Waziri yupo hoi kwa Covid19
Lakini ukiwa na demu mzuri mwenye kijungu [emoji39][emoji39][emoji39] na hela haikupigi chenga ni [emoji1768]Usiombe uwekwe lock down ukiwa njombe.
ameshakufa tayari.Kuna Waziri yupo hoi kwa Covid19
Huyu aliwekwa na Jiwe? au Miss Utalii ndiye kamteua?
watu mna manenoHuyu aliwekwa na Jiwe? au Miss Utalii ndiye kamteua?