#COVID19 Hivi ingekuwaje kama Corona ingeanzia kwenye Serikali ya Samia?

Huku mafinga tutaendelea kulala na jiko la mkaa ndani
 
Misaada yenyewe sh ngapi sasa!?
Ni hasara kuweka lockdown wakati hauna hela. Wanaoweka lockdown wanatoa hadi fidia kwa wafanyabiashara ambao watasimamisha shughuli zao kwa kipindi hicho. Sisi ndo kwanza tumeweka TOZO.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…