Pre GE2025 Hivi inteligensia ya Polisi ipo CHADEMA pekee?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mkuu ccm ile kwa sasa,
Ccm ya kipindi kile haikuwa na machawa , ya sasa ipo na makunguni na ndo wanajifanya kukijua chama k

Mkuu ccm ile kwa sasa,
Ccm ya kipindi kile haikuwa na machawa , ya sasa ipo na makunguni na ndo wanajifanya kukijua chama kuliko.

Kuna clip moja hivi mzee mmoja anakili kwamba ccm ya sasa sio ile ya mwalim au enzi zile ya sasa ni yawahuni
Uhuni ni vyama vyote. Wazee tupo, Gen-z wapo. Tuwafundishe tu Gen-Z wa TZ kwamba nguvu yao haiko kwenye hasira na misuli bali ktk siasa za ushawishi na nguvu ya kura yao,maana wako wengi ktk taifa. Then we will be ok.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…