Hivi, Inzi wanalala wapi usiku?

nzi,mende,mmbu,sisimizi nikiwaona naskia hasiraaaaaaaa

wanajua nachowafanyaga tena nnzi ndo nikiwadaka wananikomaga.

Nywe nywe nywe nywe nywe!!!mjumbe icje ikawa unawaunga jirost ulie ugali!?...🙄😂😂😂
 
Hivi ni kweli wanaishi siku 7 kisha wanakufa?

Wanajamiiana saa ngapi, mayai yakomae waangue watoto kisha wafe?
 
nzi,mende,mmbu,sisimizi nikiwaona naskia hasiraaaaaaaa

wanajua nachowafanyaga tena nnzi ndo nikiwadaka wananikomaga.

Itakua hua unawachukua nzi unawaweka ndani ya mfuko wa barafu,unadumbukiza na dushe kwny mfuko huo then wale nzi walioko ndani ya ule mfuko wana act kama catalyst.
 
Mzee wa chaputa naona una nondo za hatari
Itakua hua unawachukua nzi unawaweka ndani ya mfuko wa barafu,unadumbukiza na dushe kwny mfuko huo then wale nzi walioko ndani ya ule mfuko wana act kama catalyst.
 
Jamaa kauliza swali zuri saana lakini majibu ya hovyo kabisa
 
Jamaa kauliza swali zuri saana lakini majibu ya hovyo kabisa
Ni swali fikirishi hili.

Kuna mdau anasema kwenye kamba za kuanikia nguo, yupo sahihi.

Pia hulala kwenye majani ya mimea, kingo za meza au ukuta kwa chini maana hulala wakiangalia juu.
 
Jamaa kauliza swali zuri saana lakini majibu ya hovyo kabisa

Halafu kitu kingine cha ajabu ni kwamba huwezi ona Inzi kwenye mesi za wazungu tofauti na mesi za waswahili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…