Hivi ishakutokea ukachepuka au kujaribu kuingia kwenye mahusiano baadae yakakung'ang'ania

Hivi ishakutokea ukachepuka au kujaribu kuingia kwenye mahusiano baadae yakakung'ang'ania

chizcom

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
8,680
Reaction score
18,035
Kuna wale vijana na kuendelea mpaka uzee unasema acha nichepuke au kujaribu ili mradi tu nifurahishe au nimempeda kwa tamaa tu mambo yakawa mengine mpaka ukatamani kukimbia.

Miaka ya nyuma nilishawahi kuchepuka na ka dada kanajiuza, ilikuwa lengo langu na mimi ni suuze roho ndio kosa lilipo anza na alikuwa anajua kwangu kabla sijaoa.

Kila siku lazima atimbe ghetto mpaka kazi ya kujiiuza hataki tena. Nilikimbia mtaa na namba ya simu kubadilisha.
 
Kuna wale vijana na kuendelea mpaka uzee unasema acha nichepuke au kujaribu ili mradi tu nifurahishe au nimempeda kwa tamaa tu mambo yakawa mengine mpaka ukatamani kukimbia.

Miaka ya nyuma nilishawahi kuchepuka na ka dada kanajiuza, ilikuwa lengo langu na mimi ni suuze roho ndio kosa lilipo anza na alikuwa anajua kwangu kabla sijaoa.

Kila siku lazima atimbe ghetto mpaka kazi ya kujiiuza hataki tena. Nilikimbia mtaa na namba ya simu kubadilisha.
Ilitokea nilimwambia mimi nina mpenzi wangu ila natamani kuwa nawe, akakubali

Na niseme tu penzi analijua bibie yule ila Baada ya muda ananiwekea sanctions ati nimwache mpenzi wangu au nimwambie kuwa ana mwenzie mara akashika mimba mara akamwambia kaka yake nae alivyo pimbi akashinikiza nitangaze ndoa

Nikasema ya nini mie ? Nikauchuna kimyaa nikarudisha mpira kwa kipa

Akapiiiga akatuuma message mie kimyaa mpaka akachoka

Wanawake wengine khaa
 
Back
Top Bottom