Dr wa Kaliua
JF-Expert Member
- Sep 20, 2020
- 1,634
- 3,833
Habari Wana JF,
Naomba kuuliza hivi kutoka Dar es salaam Hadi Bukoba kwa IT zile zinazopatikana chang'ombe ni bei gani?
Mana Mabasi ni 80000/= aisee.
Kwa anaefahamu rakini pia kama Kuna mtu unajua bei ya malori yanayokwenda huko na bei zake.
Tafadhali msaada
Sent from my itel S32LTE using JamiiForums mobile app
Naomba kuuliza hivi kutoka Dar es salaam Hadi Bukoba kwa IT zile zinazopatikana chang'ombe ni bei gani?
Mana Mabasi ni 80000/= aisee.
Kwa anaefahamu rakini pia kama Kuna mtu unajua bei ya malori yanayokwenda huko na bei zake.
Tafadhali msaada
Sent from my itel S32LTE using JamiiForums mobile app