mahya gashishi
Member
- Apr 16, 2020
- 47
- 44
Mi natafakari siku wawe tim moja mkuu tuone ushindaniBinafsi nilishafikiria hiki kitu na sijawahi pata majibu hata picha
Wapendwa tunaopenda mpira hivi hii hali ya messi na ronaldo siku wakachezea timu moja inakuaje hapo?
Wote kuutafuta ubingwa wa mchezaji bora au mfungaji bora katika timu moja?
Watashindana kama walivyo sasa katika timu tofauti?
Mafahali wawili hawakai zizi moja.Binafsi nilishafikiria hiki kitu na sijawahi pata majibu hata picha
Sawa mkuu nimekupata hapo!Mafahali wawili hawakai zizi moja.
Umesahau Neymar alivyoishi pale Barcelona chini ya kivuli cha Messi. Umesahau Neymar huyo huyo baada ya kwenda PSG akawa anagombea ufalme pale na Cavani mpaka kufikia kunyang'anyana mipira ya fouls na penalties..
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] makande tena duuh[emoji1787]Ronaldo pia ni attacking midfielder.
Hao wote walikuwa wingers katika early stages zao za soka.
Wakicheza katika timu moja atakayefunga zaidi ni Ronaldo kwa sababu Messi atalazimika kucheza False No 9 au CAM hii itamfanya kucheza deep kuliko Ronaldo ambaye atakuwa ana rom kwenye final third upande wa kushoto.
Kaangalie jinsi BBC walivyokuwa wanacheza na kaangalie jinsi MSN walivyokuwa wanacheza...
Ndiyo mkuu kutoka kwa mama kiponza Buza hapa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] makande tena duuh[emoji1787]
Ha haaaMe nnao kwenye team yangu ya dream league na huwa wanaanza pamoja pale mbele ingawa haijawahi tokea wameshangilia pamoja
Sent using Jamii Forums mobile app
Duuuuh nakubali broo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Me nnao kwenye team yangu ya dream league na huwa wanaanza pamoja pale mbele ingawa haijawahi tokea wameshangilia pamoja
Sent using Jamii Forums mobile app
Hofu yangu ni mabeki wa timu pinzani....Wapendwa tunaopenda mpira hivi hii hali ya messi na ronaldo siku wakachezea timu moja inakuaje hapo?
Wote kuutafuta ubingwa wa mchezaji bora au mfungaji bora katika timu moja?
Watashindana kama walivyo sasa katika timu tofauti?
Ronaldo usimfafanishe na viumbe wa ajabuWapendwa tunaopenda mpira hivi hii hali ya messi na ronaldo siku wakachezea timu moja inakuaje hapo?
Wote kuutafuta ubingwa wa mchezaji bora au mfungaji bora katika timu moja?
Watashindana kama walivyo sasa katika timu tofauti?
Si anatafuniwa sana mkuu...auRonaldo usimfafanishe na viumbe wa ajabu
Hata akicheza timu moja na huyo boya Ronaldo ataendeleza ufundi na ufalme wake ktk soka duniani
Kwani kutafuniwa Ni kosa? mbona Kuna wachezaji wanatafuniwa lakini hawafungi Kama RonaldoSi anatafuniwa sana mkuu...au
Kwani messi hafungi mkuu?Kwani kutafuniwa Ni kosa? mbona Kuna wachezaji wanatafuniwa lakini hawafungi Kama Ronaldo