Hivi itanigharimu kiasi gani nikitaka kufungua studio ndogo ya kurekodi Muziki?

Hivi itanigharimu kiasi gani nikitaka kufungua studio ndogo ya kurekodi Muziki?

PC full SCREEN 24" TSZ 550,000/=
SOUND CARD Njia 8 TZS 1,000,000/=
SOUND CARD Njia 2 TZS 400,000/=
MIC CONDENSOR TZS 350,000/=
MONITOR SPEAKER yamaha HS8 TZS 1,500,000
MONITOR SPEAKER M audio TZs 600,000/=
MID KEYBOAD TZS 400,000
Cable connectio na stand ya MIC TZS 100,000/=
MIXER njia 8 TZS 500,000/=
MIXER njia 2 TZS 200,000/=
HEARDPHONE zinaanzia TZS 50,000/=
Ila bora zaidi zinaanzia Tzs 150,000/=

Kiugumu ugumu km ulivyosema ya bei ndogo hvyo kuingiza sauti mmojamoja mana kwamba kwaya ni km band ina maana utatumia MIXER njia 2 na sound card njia 2 monitor ya bei poa M audio.

Vifaa pekee vyote si chini ya mln 3 hapo ushakamilisha vifaa vyote pamoja na software installation.

Itabaki chumba cha studio kukipimp ambapo ghalama inategemea na unavyotaka.

Zaidi nicheck 0620552992
 
Wakuu ninahitaji nije kufungua studio ya kurekodi mziki wa Gospel tu, ninahitaji studio ndogo tu yenye vifaa vya kawaida ambavyo vitarekodi mziki mzuri.

Niandae bajeti kiasi gani kwa anayejua na pia kama nikitajiwa vifaa muhimu nitashukuru.
Vifaa vya kawaida muziki mzuri..
 
PC full SCREEN 24" TSZ 550,000/=
SOUND CARD Njia 8 TZS 1,000,000/=
SOUND CARD Njia 2 TZS 400000/=
MIC CONDENSOR TZS 350,000/=
MONITOR SPEAKER yamaha HS8 TSZ 1,500,000
MONITOR SPEAKER M audio TZs 600,000/=
MID KEYBOAD TZS 400,000
Cable connectio na stand ya MIC TZS 100,000/=
MIXER njia 8 TZS 500000/=
MIXER njia 2 TZS 200,000/=
HEARDPHONE zinaanzia TZS 500,000/=
Ila bora zaidi zin aanzia Tzs 150,000/=


Kiugumu ugumu km ulivyosema ya bei ndogo kuingiza sauti mmojamoja mana kwata km band vifaa inamaana unatumia MIXER njia 2 na sound card njia 2 monitorya bei poa M audio
Vifaa pekee vyote si chini ya mln 3 hapo ushakamilisha vifaa vyote pamoja n software installation
Itabaki chumba cha kukipimp ambapo inategemea na unavyotaka

Zaidi nicheck 0620552992
We jamaa ubarikiwe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
PC full SCREEN 24" TSZ 550,000/=
SOUND CARD Njia 8 TZS 1,000,000/=
SOUND CARD Njia 2 TZS 400000/=
MIC CONDENSOR TZS 350,000/=
MONITOR SPEAKER yamaha HS8 TSZ 1,500,000
MONITOR SPEAKER M audio TZs 600,000/=
MID KEYBOAD TZS 400,000
Cable connectio na stand ya MIC TZS 100,000/=
MIXER njia 8 TZS 500000/=
MIXER njia 2 TZS 200,000/=
HEARDPHONE zinaanzia TZS 500,000/=
Ila bora zaidi zin aanzia Tzs 150,000/=


Kiugumu ugumu km ulivyosema ya bei ndogo hvyo kuingiza sauti mmojamoja mana kwamba kwaya km band vifaa inamaana unatumia MIXER njia 2 na sound card njia 2 monitor ya bei poa M audio
Vifaa pekee vyote si chini ya mln 3 hapo ushakamilisha vifaa vyote pamoja na software installation
Itabaki chumba cha kukipimp ambapo inategemea na unavyotaka

Zaidi nicheck 0620552992
Mkuu nitakupinga baadhi ya mambo hapo, ila ni katika kujaribu kupeana elimu ya mambo ya utayarishaji wa muziki,
Studio ndogo ya kurekodi muziki huhitaji mixer kwa sababu sauti hutumia conversion ya sound card.

Na pia suala la monitor speakers sio kwa bei hiyo unayosema kwa sababu uwezo wa monitor ndio utaamua output ya muziki wako, kwa mfano ukitumia hizi m audio hutapata output nzuri kama anyetumia yamaha au krk rokit.

Pia uwezo wa computer katika kuhimili vst/au/aax plug in ni kipaumbele namba moja. Hivyo fedha kubwa itumike kwa vipaumbele vifuatavyo:

1.monitor speakers
2.computer pamoja na software plugins zake
3.Mic na audio interface
4. acoustic treatment
5.vinginevyo
 
Wakuu ninahitaji nije kufungua studio ya kurekodi mziki wa Gospel tu, ninahitaji studio ndogo tu yenye vifaa vya kawaida ambavyo vitarekodi mziki mzuri.

Niandae bajeti kiasi gani kwa anayejua na pia kama nikitajiwa vifaa muhimu nitashukuru.
Mkuu, kwa studio ya kawaida utahitaji bajeti ya milioni 10 hadi 13 mpaka kukamilika kwake na float balance ya miezi kadhaa baada ya kuifungua studio.
Ni pm kwa ushauri zaidi.
 
Mkuu nitakupinga baadhi ya mambo hapo, ila ni katika kujaribu kupeana elimu ya mambo ya utayarishaji wa muziki,
Studio ndogo ya kurekodi muziki huhitaji mixer kwa sababu sauti hutumia conversion ya sound card. Na pia suala la monitor speakers sio kwa bei hiyo unayosema kwa sababu uwezo wa monitor ndio utaamua output ya muziki wako, kwa mfano ukitumia hizi m audio hutapata output nzuri kama anyetumia yamaha au krk rokit. Pia uwezo wa computer katika kuhimili vst/au/aax plug in ni kipaumbele namba moja. Hivyo fedha kubwa itumike kwa vipaumbele vifuatavyo:
1.monitor speakers
2.computer pamoja na software plugins zake
3.Mic na audio interface
4. acoustic treatment
5.vinginevyo
Unaweza ainisha na bei japo kwa makadirio mkuu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu, kwa studio ya kawaida utahitaji bajeti ya milioni 10 hadi 13 mpaka kukamilika kwake na float balance ya miezi kadhaa baada ya kuifungua studio.
Ni pm kwa ushauri zaidi.
Hii kwa bongo siyo studio ya kawaida mkuu kwa hiyo bei ni studio kubwa maana maproducer wengi walianzisha studio kama s2kizzy bajet zao zilikuwa milion 8-10.
 
Mkuu nitakupinga baadhi ya mambo hapo, ila ni katika kujaribu kupeana elimu ya mambo ya utayarishaji wa muziki,
Studio ndogo ya kurekodi muziki huhitaji mixer kwa sababu sauti hutumia conversion ya sound card. Na pia suala la monitor speakers sio kwa bei hiyo unayosema kwa sababu uwezo wa monitor ndio utaamua output ya muziki wako, kwa mfano ukitumia hizi m audio hutapata output nzuri kama anyetumia yamaha au krk rokit. Pia uwezo wa computer katika kuhimili vst/au/aax plug in ni kipaumbele namba moja. Hivyo fedha kubwa itumike kwa vipaumbele vifuatavyo:
1.monitor speakers
2.computer pamoja na software plugins zake
3.Mic na audio interface
4. acoustic treatment
5.vinginevyo
Hebu nipe maelezo mkuu maana nishaona studio nyingi hazina mixer zina sound card tu jambo ambalo uwa linanishangaza, naomba maelezo maana wa kuanzia ninataka funguo studio ndogo ya kurekodi nyimbo za gospel siyo za kwaua kubw hapana bali hizi za main streamkama za akina goodlucky gosbert ambazo kiukweli hazina tofauti na bongo fleva hayo ya kwaya yatakuja baadae
 
Wakuu ninahitaji nije kufungua studio ya kurekodi mziki wa Gospel tu, ninahitaji studio ndogo tu yenye vifaa vya kawaida ambavyo vitarekodi mziki mzuri.

Niandae bajeti kiasi gani kwa anayejua na pia kama nikitajiwa vifaa muhimu nitashukuru.

Studio ya mziki ukiwa na milion 5 unasuka studio kali sana.. studio ya mziki sio gharama kabisa hata milion 3 inatosha kusuka studio
 
Studio ya mziki ukiwa na milion 5 unasuka studio kali sana.. studio ya mziki sio gharama kabisa hata milion 3 inatosha kusuka studio
Ngoja nifanye mchakato halafu nitarudi humu kumtafuta producer tuje tugonge nyimbo za kumsifu Bwana
 
Unaweza ainisha na bei japo kwa makadirio mkuu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa makadirio ni kama ifuatavyo:
1. Pc yenye uwezo kwa bei za kariakoo ni 2m
2. Monitor speakers za yamaha (hs 8) ni 2.4m na mkononi ni 1.8m
3. Sound card /audio interface ya njia mbili ndani na nne nje ni laki saba hadi tisa kulingana na brand kama focusrite, avid, m audio, presonus, behringer na kadhalika.
4. Microphone: kwa hapa dar nisikudanganye tu mkuu ukienda kariakoo utakuta hizi mic za mchina kama turkstar zimejaa kuanzia laki tatu ila sikushauri ununue. Mic nzuri ni ile ambayo bei zake zipo kuanzia laki nane au uipate kutoka kwa mtu. Kama utapata audio technica at 2020 itafaa sana na kuna siku niliwahi kuiona huko kariakoo duka la congo music shop
5. Midi keyboard controller huanzia laki tano na nusu kulingana na aina ya midi controller unayoitaka, kuna za keys 49, 61 hadi 88 na pia huwa zinakuwa semi weighted au full velocity.
6. Software kwa ajili ya productions pamoja na audio samples. Hizi ndio silaha za maangamizi kwenye production na sio rahisi sana kuzipata. Huwa mtu anakufanyia installation kwa package ya laki tatu kwa plugin za kawaida au laki 8 kwa full package ya world class samplers, synthesizers na plugins za mixing na Mastering.
7. Cables, stands na accessories: hizi mara nyingi huwa bei rahisi na huweza kufika laki sita kulingana na quality yake.
8. DIY Acoustics treatment: hii mara nyingi hutegemea na aina ya chumba utakachofanya kuwa studio na mimi binafsi nashauri uwekeze kwenye zile movable panels ambazo ukutaka kuhama ni rahisi kuzitoa na gharama zake ni approximately laki sita kwa chumba cha wastani.
9. Furniture: utahitaji kiti na meza kwa ajili ya prodicer, sofa set kwa ajili ya wageni na wateja na carpet
10. Air conditioner; kwa kawaida unahitaji a/c ya 9,000 btu/hr au 12,000 btu/hr kama chumba kitakuwa kikubwa kiasi
 
Hii kwa bongo siyo studio ya kawaida mkuu kwa hiyo bei ni studio kubwa maana maproducer wengi walianzisha studio kama s2kizzy bajet zao zilikuwa milion 8-10.
Mkuu, mimi namiliki studio ambayo vifaa vyenyewe ilinigharimu almost milioni saba kuvinunua na hadi sasa vipo na vinafanya kazi. Ukisema ununue vifaa kwa bei rahisi utaingia hasara kupeleka kwa fundi kila siku au kutoa muziki usio na ubora wowote. Hayo mambo ya akina s2kizzy ni flexing za mitandaoni usiziamini sana.
 
Mkuu nitakupinga baadhi ya mambo hapo, ila ni katika kujaribu kupeana elimu ya mambo ya utayarishaji wa muziki,
Studio ndogo ya kurekodi muziki huhitaji mixer kwa sababu sauti hutumia conversion ya sound card.

Na pia suala la monitor speakers sio kwa bei hiyo unayosema kwa sababu uwezo wa monitor ndio utaamua output ya muziki wako, kwa mfano ukitumia hizi m audio hutapata output nzuri kama anyetumia yamaha au krk rokit.

Pia uwezo wa computer katika kuhimili vst/au/aax plug in ni kipaumbele namba moja. Hivyo fedha kubwa itumike kwa vipaumbele vifuatavyo:

1.monitor speakers
2.computer pamoja na software plugins zake
3.Mic na audio interface
4. acoustic treatment
5.vinginevyo
Sijaelewa unapinga nini mkuu
halafu bei unasema monitor si hivyo inamaana kubwa au ndogo

Ipo hivi hovyo vitu vyote vipo na akitaka anapata vyote hata mda huu
na anakuja na mtaalamu wake kukagua km ni OG au feki kisha alete mrejesho hapa

Kasema anataka studio nafuu ya kibongobongo na mimi nimemnyambulishia bei kulingana uwezo wake
 
Mkuu, mimi namiliki studio ambayo vifaa vyenyewe ilinigharimu almost milioni saba kuvinunua na hadi sasa vipo na vinafanya kazi. Ukisema ununue vifaa kwa bei rahisi utaingia hasara kupeleka kwa fundi kila siku au kutoa muziki usio na ubora wowote. Hayo mambo ya akina s2kizzy ni flexing za mitandaoni usiziamini sana.
Sawa mkuu nitafanyia kazi nitakuja kuleta mrejesho studio ikishakuwa tayari
 
Hebu nipe maelezo mkuu maana nishaona studio nyingi hazina mixer zina sound card tu jambo ambalo uwa linanishangaza, naomba maelezo maana wa kuanzia ninataka funguo studio ndogo ya kurekodi nyimbo za gospel siyo za kwaua kubw hapana bali hizi za main streamkama za akina goodlucky gosbert ambazo kiukweli hazina tofauti na bongo fleva hayo ya kwaya yatakuja baadae
Dhana ya kuwa na mixer studio ilikuwa kuingeza nguvu ya muziki kwenye speaker na kwa vile speaker za zamani zilikuwa passive zilitegemea source ya power kupitia hiyo mixer. Kwa sasa muziki ni digital (au in the box) huhitaji kuwa na mixer au amp kwa sababu sound card inafanya digital to analog conversion kati ya sauti (ambayo kiuhalisia ni analog) kuwa digital ilo isomeke na computer. Hivyo hauhitaji kuwa na mixer kabisa.
 
Back
Top Bottom