Hivi itanigharimu kiasi gani nikitaka kufungua studio ndogo ya kurekodi Muziki?

nina kinanda yamaha psr 9000 anayejua jinsi ya kurekodi beat au nyimbo anielekeze tafadhali. yani hki kinahtaji mtu ajue mana kina maneno mengi.
 
Studio ya mziki ukiwa na milion 5 unasuka studio kali sana.. studio ya mziki sio gharama kabisa hata milion 3 inatosha kanaoweza

Studio ya mziki ukiwa na milion 5 unasuka studio kali sana.. studio ya mziki sio gharama kabisa hata milion 3 inatosha kusuka studio
Mimi tayari nimeshanunua vifaa sasa natafuta eatu watao weza kunifungia soundroom ndogo tu ili niweze kuanza kazi.....naomba msaada chief
 
nawapataje hawa watu wa kunifungia hizi Diy acoustic treatment mkuu...mimi swala la vifaanimesha malizana nalo
 
Ndio uweke na bei maana jamaa kamtajia vya bei ya sawa na bure
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…