Hivi Jacqueline Ntuyabaliwe Mengi kaishia wapi?

Hivi Jacqueline Ntuyabaliwe Mengi kaishia wapi?

Wale marafiki ni wanafiki walikuwa hawampendi huyo klyin ni vile mzee alikuwaga na hela pia na yeye alikuwaga anawakatia tiketi wanaenda wote vacation,mwenzao ana matatizo wakamkimbia
Yupo na wajane na kiranja wao bashite
 
Watu wana wivu wa kiboya sana.
Mengi alikuwa mgonjwa wa miaka mingi tu tangu enzi za akina Ritha sliiuwa hata kudandia hawezi hadi aandaliwe masaa 2 kwa mujibu wa Ritha.
Jambo lingine slipigwa na stroku enzi za tra kubambikizia Kodi...mzee alizima kwa muda na upande mmoja ukwa umeparalaizi.
Binti wa watu wanabebeshwa zigo bur
Huo msumari,mdingi alishamaliza mda wa bata.
Toka enzi ya Sukita,bonite acha Ipp Mzee anaweza kuangalia tu mbunyenye akafyonya akaondoka zake.
Tutafute hela jamani sio kupiga porojo tu.
Ila huyu mdingi kuna siku alinitoa sisahau.
Mungu amrehemu alipo.
RIP Mengi🙏.
 
Kama umeoa usiwe na mchepuko wa kudumu ogopa sana hio. Mzee Mengi kumuoa Jack aliwadhalilisha sana watoto wake na i believe all along Mengi alikuwa mzinzi and kuna hotel moja ya best yake mnazi mmoja dsm ilikuwa pori lake. Kuleni sana mbunye mkiwa bado vijana ili uzee muwe tunu kwa jamii na familia zenu. Kafa kaachia aibu na pollution kwa watoto.
Sikubaliani na wewe..mwanaume huwezi mpangia nini cha kufanya..kwanza alifanya jambo jema kuoa na kuzaa...ulitaka andelee kwenda lodge kuzini na kila vimwanamke.

#MaendeleoHayanaChama
 
Kama umeoa usiwe na mchepuko wa kudumu ogopa sana hio. Mzee Mengi kumuoa Jack aliwadhalilisha sana watoto wake na i believe all along Mengi alikuwa mzinzi and kuna hotel moja ya best yake mnazi mmoja dsm ilikuwa pori lake. Kuleni sana mbunye mkiwa bado vijana ili uzee muwe tunu kwa jamii na familia zenu. Kafa kaachia aibu na pollution kwa watoto.
As long ni mwanaume basi ni ngumu sana kuacha kuchepuka haijalishi una miaka mengi. Mimi wazee wengi wa mtaani wengi wana migoma yao wanajipigia siku wakiwa na hamu ya kuchepuka na kuna mzee mmoja yupo vizuri kiuchumi yy mke wake alishatangulia mbele ya haki, yy wanawake ananunua hana time kabisa ya kuoa.

Watoto zake wote washaoa &wengine wameolewa nyumba nzima yupo yy hakai na mjukuu wala mfanyakazi. Yy anaishi kIsela na katika mtaa wetu ana nyumba tatu kubwa na za kisasa na ana Pajero akiwa na hamu anajivutia na kuwagongea nyumbani kwake baada ya hapo kila anashika hamsini zake.
 
Jacky anapenda sana wanaume wazungu, halafu ana bahati ya kupata wanaume wenye hela, cjui anawategaje Mimi.
Amejiweka kiclassic mbugila mbgila hatii shoo!!!
Na kingine Bahati,majina ya Irene na Jacky wana bahati sana
 
Kuna habari mmepelekwa mahakamani hamtaki kulea watoto uzi upo humu tupe habari kamili.

Huo uzi ni story za kijiweni kama upo au kyln ameamua kuwasumbua wana familia
Wale watoto hawawezi kuachwa kulelewa watasoma Mpaka mawinguni labda wakatae wenyewe watatembea Nchi zote Duniani labda Mama Yao achukue hela akanunue designer handbag za milioni 40 halafu hasipeleke watoto Holiday kwa kifupi wanapewa bata zote na ndugu zao lakini kumpa Kylin company alizozikuta na yeye awe director kisa asifike kwa wa dada wa mjini Neiiiii balacheeee siungi mkono hoja nikiwa kama shabiki kindaki ndaki ataua IPP kama alivyoua company za kwake alizofunguliwa na Marehemu
 
Huo uzi ni story za kijiweni kama upo
Wale watoto hawawezi kuachwa kulelewa watasoma Mpaka mawinguni labda wakatae wenyewe watatembea Nchi zote Duniani labda Mama Yao achukue hela akanunue designer handbag za milioni 40 halafu hasipeleke watoto Holiday kwa kifupi wanapewa bata zote na ndugu zao lakini kumpa Kylin company alizozikuta na yeye awe director kisa asifike kwa wa dada wa mjini Neiiiii balacheeee siungi mkono hoja nikiwa kama shabiki kindaki ndaki ataua IPP kama alivyoua company za kwake alizofunguliwa na Marehemu
Hapo chacha mwenye Kesi yake kajibu na majibu kuntu mkuu Mimi. Asante.
 
Huo uzi ni story za kijiweni kama upo
Wale watoto hawawezi kuachwa kulelewa watasoma Mpaka mawinguni labda wakatae wenyewe watatembea Nchi zote Duniani labda Mama Yao achukue hela akanunue designer handbag za milioni 40 halafu hasipeleke watoto Holiday kwa kifupi wanapewa bata zote na ndugu zao lakini kumpa Kylin company alizozikuta na yeye awe director kisa asifike kwa wa dada wa mjini Neiiiii balacheeee siungi mkono hoja nikiwa kama shabiki kindaki ndaki ataua IPP kama alivyoua company za kwake alizofunguliwa na Marehemu
Maehemu alifanya uzembe mkubwa sana wakati wa uhai wake kuzaa na huyo Kylin na kufunga naye ndoa.
 
Maehemu alifanya uzembe mkubwa sana wakati wa uhai wake kuzaa na huyo Kylin na kufunga naye ndoa.


Marehemu ameacha funzo kwa wenye akili watajifunza kupitia mistake iliyofanywa na dr.Mengi , kylin hakutaka kufanya investment yoyote na investment alizofungua alikula mtaji simply alishapiga hesabu kali tangu mwanzo za kurithi Mali kupitia watoto ndio Ndumba za kumpumbaza Mzee Machache na force zilitumika Sana akubaliwe kupandikiza wale watoto
 
Back
Top Bottom