Huo uzi ni story za kijiweni kama upo
Wale watoto hawawezi kuachwa kulelewa watasoma Mpaka mawinguni labda wakatae wenyewe watatembea Nchi zote Duniani labda Mama Yao achukue hela akanunue designer handbag za milioni 40 halafu hasipeleke watoto Holiday kwa kifupi wanapewa bata zote na ndugu zao lakini kumpa Kylin company alizozikuta na yeye awe director kisa asifike kwa wa dada wa mjini Neiiiii balacheeee siungi mkono hoja nikiwa kama shabiki kindaki ndaki ataua IPP kama alivyoua company za kwake alizofunguliwa na Marehemu