Yupo na wajane na kiranja wao bashiteWale marafiki ni wanafiki walikuwa hawampendi huyo klyin ni vile mzee alikuwaga na hela pia na yeye alikuwaga anawakatia tiketi wanaenda wote vacation,mwenzao ana matatizo wakamkimbia
Nancy kaolewa na mzungu au mhindi koko ,magoaKwahiyo unamaanisha nancy sumari kampa shavu bestie au vp?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaahUmejuaje aliwasokota dreads anawasuka style za kubana za kidada
Wee kumbe?Jack kapata mume mdhungu anaishi Dubai
Na watoto wake keshabeba.... machame byebye
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nancy kaolewa na mzungu au mhindi koko ,magoa
Kwahiyo unamaanisha nancy sumari kampa shavu bestie au vp?
Na wwe vp hutaki Mzungu Kili akuunganishe!?Sio Nancy ,ni Kili
Huo msumari,mdingi alishamaliza mda wa bata.Watu wana wivu wa kiboya sana.
Mengi alikuwa mgonjwa wa miaka mingi tu tangu enzi za akina Ritha sliiuwa hata kudandia hawezi hadi aandaliwe masaa 2 kwa mujibu wa Ritha.
Jambo lingine slipigwa na stroku enzi za tra kubambikizia Kodi...mzee alizima kwa muda na upande mmoja ukwa umeparalaizi.
Binti wa watu wanabebeshwa zigo bur
Sikubaliani na wewe..mwanaume huwezi mpangia nini cha kufanya..kwanza alifanya jambo jema kuoa na kuzaa...ulitaka andelee kwenda lodge kuzini na kila vimwanamke.Kama umeoa usiwe na mchepuko wa kudumu ogopa sana hio. Mzee Mengi kumuoa Jack aliwadhalilisha sana watoto wake na i believe all along Mengi alikuwa mzinzi and kuna hotel moja ya best yake mnazi mmoja dsm ilikuwa pori lake. Kuleni sana mbunye mkiwa bado vijana ili uzee muwe tunu kwa jamii na familia zenu. Kafa kaachia aibu na pollution kwa watoto.
As long ni mwanaume basi ni ngumu sana kuacha kuchepuka haijalishi una miaka mengi. Mimi wazee wengi wa mtaani wengi wana migoma yao wanajipigia siku wakiwa na hamu ya kuchepuka na kuna mzee mmoja yupo vizuri kiuchumi yy mke wake alishatangulia mbele ya haki, yy wanawake ananunua hana time kabisa ya kuoa.Kama umeoa usiwe na mchepuko wa kudumu ogopa sana hio. Mzee Mengi kumuoa Jack aliwadhalilisha sana watoto wake na i believe all along Mengi alikuwa mzinzi and kuna hotel moja ya best yake mnazi mmoja dsm ilikuwa pori lake. Kuleni sana mbunye mkiwa bado vijana ili uzee muwe tunu kwa jamii na familia zenu. Kafa kaachia aibu na pollution kwa watoto.
Ila killy nae kwa madanga ya kizunguu!kaokota lingine baada ya marehemu mumeweSio Nancy ,ni Kili
Hapana sipendi damu baridi Sina njaa ya kudanga
Kuna habari mmepelekwa mahakamani hamtaki kulea watoto uzi upo humu tupe habari kamili.Sio Nancy ,ni Kili
Kuna habari mmepelekwa mahakamani hamtaki kulea watoto uzi upo humu tupe habari kamili.
Hapo chacha mwenye Kesi yake kajibu na majibu kuntu mkuu Mimi. Asante.Huo uzi ni story za kijiweni kama upo
Wale watoto hawawezi kuachwa kulelewa watasoma Mpaka mawinguni labda wakatae wenyewe watatembea Nchi zote Duniani labda Mama Yao achukue hela akanunue designer handbag za milioni 40 halafu hasipeleke watoto Holiday kwa kifupi wanapewa bata zote na ndugu zao lakini kumpa Kylin company alizozikuta na yeye awe director kisa asifike kwa wa dada wa mjini Neiiiii balacheeee siungi mkono hoja nikiwa kama shabiki kindaki ndaki ataua IPP kama alivyoua company za kwake alizofunguliwa na Marehemu
Maehemu alifanya uzembe mkubwa sana wakati wa uhai wake kuzaa na huyo Kylin na kufunga naye ndoa.Huo uzi ni story za kijiweni kama upo
Wale watoto hawawezi kuachwa kulelewa watasoma Mpaka mawinguni labda wakatae wenyewe watatembea Nchi zote Duniani labda Mama Yao achukue hela akanunue designer handbag za milioni 40 halafu hasipeleke watoto Holiday kwa kifupi wanapewa bata zote na ndugu zao lakini kumpa Kylin company alizozikuta na yeye awe director kisa asifike kwa wa dada wa mjini Neiiiii balacheeee siungi mkono hoja nikiwa kama shabiki kindaki ndaki ataua IPP kama alivyoua company za kwake alizofunguliwa na Marehemu
Maehemu alifanya uzembe mkubwa sana wakati wa uhai wake kuzaa na huyo Kylin na kufunga naye ndoa.