Hivi jamaa yenu yu wapi? Kitambo sana

Hivi jamaa yenu yu wapi? Kitambo sana

Director alikuwa mwenyewe kwa jinsi anavyoitegesha laptop vizuri kwa ajili ya watazamaji...sema ile movie sasa hivi itakuwa ina miaka kama nane au saba, ndio maana wengine humu hawaijui...halafu mzigo Mrefu dakika 78
 
Huyu jamaa nilianza mjua nikiwa form Iv kipind nilikiwa na access ya internet,

Blogs na forum ndo ilikuwa habari ya mjini insta ilikuwa haina mvuto kbisa

Brian toka Dom ,licha ya umaarufu wake wa single movie hajawahi ongelewa tena

Miaka kadhaa imepita huyu jamaa yko wapi nani ashamuona hata mtaani

Ile pisi nayo iko wapi??
Au walikufa

Huwa wanakumbusha mbali nilikuw naiba simu ya bimkubwa ili niwatazame tu
 
Back
Top Bottom