Hukupita shule ya msingi wewe? Huko ndiko kuna kusimuliana tamthilia lol!
By the way mimi pia ni mpenzi wa tamthilia but siwezi kusimulia and i don't like kusimuliwa, if ilipita sikuangalia, its over!
tuanze na ipi...zipo nyingi
My dia tuanze na isidingo, vile iko hot kipindi hiki mi imenivutia sana. Natamani kujua ma Agnes akijua kuwa Thandi anamimba ya Zebedee badala ya Parsons sijui itakuwaje.
Ila pia njia nyingine; waweza fungua tredi tofauti za tamthiliya hivyo kila mtu anapata nafasi ya kuchangia zote au ile anayoipenda.
Karibuni sana!!
oooh ok...nilikuwa naifuatilia lakini kutokana na majukumu nashindwa...vipi Parsons amerudiana na Nandhipa? huwa nawaona ona ila sijui kinachoendelea...ilikuwaje mpaka Thandi akapata mimba ya baba mkwe?...duh
kdd na Iza wengi wetu tunaangalia Isidingo kupitia SABC3 hiyo ya ITV ipo nyuma miezi zaidi ya sita
Ishu ya Parsons ni ngumu kumesa katika reality..
Incase anazaliwa atamwitaje mdogo wangu au mtoto wangu??
Ila choice ya Parsons nzuri..bora itolewe tuu..hata ningekuwa mimi angeitoa au ndo mwisho wa ndoa..!
ikitolewa ndo warudiane??
afu mi ndo wale wadandiaji, sikuelewa hiyo mimba alipandikizwa mbegu za mkwe au walifanya uzinzi kabisa??
Hawakufanya uzinzi my dia.......walipandikiza na nadhani bila kuwashirikisha wanafamilia wengine ndio maana sasa hivi hapatoshi horizon deep.