Hivi jamani humu hamna wapenzi wa tamthiliya

Hivi jamani humu hamna wapenzi wa tamthiliya

Eh! wajameni mi mwenzenu nilikuwa napenda ile tamthiliya ya tausi kutoka KBC kenya si mnawakumbuka akina Mponda, kilonzo, Dama, Joto, Kibibi, Mjuba??? na wengine???:A S tongue:
 
Eh! wajameni mi mwenzenu nilikuwa napenda ile tamthiliya ya tausi kutoka KBC kenya si mnawakumbuka akina Mponda, kilonzo, Dama, Joto, Kibibi, Mjuba??? na wengine???:A S tongue:

ooh yeah kale kabinti kadogo kalikuwa kanaitwaje vile???
 
Zebedee anataka mtoto na alivyogundua kuwa parsons hawezi kuzaa ndio kachanganyikiwa kabisa akifikiria nani ataendeleza jina (si unajua wanaume wakiafrika). Kwa hiyo anatafuta mtoto kwa gharama yoyote ile.
 
Zebedii ni baba wa aina yake aisee

mzee mzima haoni hii ni incest kabise aisee???? afu ana moyo eti bado anaenda kuleta nyodo kwa Agnes
 
mitamthilia yenyewe haiishi inakula muda wa watu tuu. mirfu kama nini. bora muvi za kinaijeria unaangalia saa moja kwishnei. ila nakumbuka enzi hizo nikiwa chalii Moshi huko. Tv ya black & white unapata KBC tu. kulikuwa na tamthilia mbili; No One But You na The Rich Also Cry. japo sikujua kizungu zilikuwa zinafurahisha tu. kuna mdau alibahatika kuziona hizo?
 
mitamthilia yenyewe haiishi inakula muda wa watu tuu. mirfu kama nini. bora muvi za kinaijeria unaangalia saa moja kwishnei. ila nakumbuka enzi hizo nikiwa chalii Moshi huko. Tv ya black & white unapata KBC tu. kulikuwa na tamthilia mbili; No One But You na The Rich Also Cry. japo sikujua kizungu zilikuwa zinafurahisha tu. kuna mdau alibahatika kuziona hizo?

Ndio maana watu wengi tunatizama seasonally.....yaani toka ilivyoanza kuonyeshwa mpaka leo haliishi tu. Mi hizo ulizosema hata sijawahi kuzisikia....ila kwa kweli nilipenda sana tamthiliya ya "the promise" na "la mujer de mivida".......hizi tamthiliya zilikuwa bomba sana.
 
mitamthilia yenyewe haiishi inakula muda wa watu tuu. mirfu kama nini. bora muvi za kinaijeria unaangalia saa moja kwishnei. ila nakumbuka enzi hizo nikiwa chalii Moshi huko. Tv ya black & white unapata KBC tu. kulikuwa na tamthilia mbili; No One But You na The Rich Also Cry. japo sikujua kizungu zilikuwa zinafurahisha tu. kuna mdau alibahatika kuziona hizo?

Niliziona hizo Kingi those are classics aisee. Kizungu not reachable siku hizo ilikuwa ni kuangalia picha tu na vitendo but they were really good.
 
mzee mzima haoni hii ni incest kabise aisee???? afu ana moyo eti bado anaenda kuleta nyodo kwa Agnes

Wale wana maisha yao wenyewe. Ma Agnes ananifurahishaga sana smtimes anavyomkimbizaga Zabedii akimletea ujinga
 
Wale wana maisha yao wenyewe. Ma Agnes ananifurahishaga sana smtimes anavyomkimbizaga Zabedii akimletea ujinga

Jana alimkimbiza afu Zebedii akamkumbusha kuwa hiyo ni nyumba yake pia, bi mkubwa akaona isiwe tabu ngoja niende mimi..............aaah mzee mzima akaona bora asepe!!!! Zebedii anachimbwaga sana mkwara na M Agness lakini haishi vijimambo na yeye
 
Ndio maana watu wengi tunatizama seasonally.....yaani toka ilivyoanza kuonyeshwa mpaka leo haliishi tu. Mi hizo ulizosema hata sijawahi kuzisikia....ila kwa kweli nilipenda sana tamthiliya ya "the promise" na "la mujer de mivida".......hizi tamthiliya zilikuwa bomba sana.

la mujer na the promise zilikuwa balaa;kwa the promise beat actress wangu alikuwa madam claudia kwa la mujer barbarita
 
Haya ngoja tujumuike tu huku...kuna yule mdada nadhani ni askari na alikuwa na mahusiano ya mapenzi na Rajesh nimeangalia jana anaonekana ana ujauzito hivi ni wa Rajesh au nani.kiufupi huwa ananivutia sana ingawa na jina lake silijui..
 
hawa walikuwa waigizaji aisee!!! I never missed a season ya tausi ukizingatia I was majukumuless those days!!!
 
Kuna yule mtu anaitwa Mponda yeye na hubby wake Kibibi jamaa anapendwa akiwa na chapaa tu akilost demu anamtoa mbio kwa kweli wale ndio walikuwa wananifurahisha sana..
 
Haya ngoja tujumuike tu huku...kuna yule mdada nadhani ni askari na alikuwa na mahusiano ya mapenzi na Rajesh nimeangalia jana anaonekana ana ujauzito hivi ni wa Rajesh au nani.kiufupi huwa ananivutia sana ingawa na jina lake silijui..

Yule anaitwa Priyanka alikuwa ana uhusiano na Frank anayefanya na Rajesh. sasa Frank hajatulia kimapenzi Priya akashika ujauzito wake na Frank sijui akawa hayuko tayari kulea mtoto akashauri aitoe. Priya hakukubali na uhusiano ukafa na Rajesh came into the picture akawa anamliwaza Priya mpaka wakadevelop a bond wakawa wapenzi.
 
Back
Top Bottom