Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa diara katoka golini hawa
huyo masikini tuuAcha maskhara wewe.....
Fremu zote zile K'koo ?!! [emoji44]
Vipi mkuu ?!!.Mmmh [emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
Hapana mkuu wangu....Why are you Gay?
Daah mkuu umenikosea sana...Hawa diara katoka golini hawa
Mkuu inawezekana sina ninachokijua juu ya ndugu The Boss...kwani vipi mbona mmenipeleka kwenye hizo "mbanga"?!!Tunamshukuru mama atuongezee mchele wa virutubisho wa ifakara haufai tena [emoji81]
😂😂😂😂Mmmh 🚶🚶🚶🚶
Ushauri juu yake sina, ila kama mama huwa tunawashauri watoto wetu hawa GenZ wasitumie sana emoj, tena kwenye conversation na mwanaume mwenzie.Sawa mkuu wangu...
Wa kiume haswa mwenye kupenda amani na ustawi kwa kila mtu...
Moyo wangu hauna chuki ndio maana emoji nyingi....kwani unataka kunishauri nini juu yake ?!!
Ahsante kwa ushauri dada yangu[emoji7]Ushauri juu yake sina, ila kama mama huwa tunawashauri watoto wetu hawa GenZ wasitumie sana emoj, tena kwenye conversation na mwanaume mwenzie.
Kila la heri.
Sipajui...PM unapajua?
[emoji1787]Amekuwa chawa wa mama hadi akawa anakera.
Shukran mkuu wangu [emoji7]Mara ya mwisho nilimuona akisikiliza the old bongoflavors.Yupo.